Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Toa ushahidi usio na shaka kuwa amemuita samia shetani kuhusu rombo hotel wabishe waone watu watakavyoingia kazin kuleta data.
Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.

Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?

Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.

Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!

Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
 
Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.

Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?

Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.

Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!

Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Mimi nitakuwa wakili wa Mwingira
 
Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.

Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?

Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.

Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!

Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Kama anao ushahidi wa hayo mauaji hali itakuwa mbaya zaidi kwa wamiliki wa Hotel, wenyewe wanajua bora wanyamaze.
Kwani wenye hotel ndiyo walimuua binti? Hali itakuwa mbaya kwao kivipi?
 
Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.

Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?

Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.

Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!

Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Shetani bana achaa hasira, mbona tukimsema mungu kwa matendo yake Huwa hakasiriki?? nyie vipi mkiitwa majina yanayoendana na matendo yenu. Mnawaka
 
Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.

Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?

Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.

Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!

Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Kwa nini usiwe "wakili" wao?Ina maana Mwingira ni mjinga sana hadi aongee hivyo?Na bado.Kila aliyeumizwa atatoa sumu kifuani mwake.Wavumiliwe tu kwani hata wao wakati wanaumizwa walivumilia.Bado kuna watumishi wa umma,wafanyabiaahara,wanasiasa na makundi kedekede.Mfano mzuri tu ni Mbowe.Kwa Mbowe au Lissu yaliyofanywa dhidi yao unaweza kwa urahisi kuwaambia wasiongee au waombe msamaha wakakuelewa?
Vipi wazazi wa Ben Saanane au Akwilina Akwilin nao wasiseme machungu yao?Vipi wake,watoto,wazazi na ndugu wa Azory Gwanda na wengine waliopotea nao wasitoe sumu vifuani?Acheni uhuniuhuni.
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned..
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.

Pia, soma:

Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Mali za 10 billion mchungani anazotoa wapi
 
Badala ya kujali uhai wa mtu wewe linalokusumbua ni brand!
Mimi siyo Mungu na siyajui ya sirini lakini Mwingira ni muongo na mtafuta huruma.

Unatambua dhuluma ya mashamba ya watu aliyopata kufanya?!
 
Back
Top Bottom