Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hivi Watanzania Mungu aliamua nini kutuacha tutawaliwe na shetani Magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti aliuawa ROMBO hotel, sasa wewe ulitaka aseme aliuawa Mwanza hotel?Kakosea sana kutaja brand ya watu
Kama hujui ya sirini hapa kimekuleta nini?Mimi siyo Mungu na siyajui ya sirini lakini Mwingira ni muongo na mtafuta huruma.
Unatambua dhuluma ya mashamba ya watu aliyopata kufanya?!
Unajuaje kama hana ushahidi?Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.
Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?
Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.
Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!
Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Inatafutwa kampuni ya "fyumigesheni" kumtoa shetani na mambo yake yote.Kwani kumetokea Nini!?
Mramba kwani bado yupo?Kama anao ushahidi wa hayo mauaji hali itakuwa mbaya zaidi kwa wamiliki wa Hotel, wenyewe wanajua bora wanyamaze.
Upo sahihi nduguToa ushahidi usio na shaka kuwa amemuita samia shetani kuhusu rombo hotel wabishe waone watu watakavyoingia kazin kuleta data.
Tangu mwenyewe afariki basi ishakuwa tabuMbona tunaisemea hotel wakati wenyewe wapo kimya?na ukimya huu ni kuthibitisha kuwa hoteli ile ina damu za binadamu,binafsi ile brand imeshachafuka
Hatuwezi kumuombea shetaniMniombee
Mlikafilisi kabenki kake lakini mkashindwa kumuua badala yake akafa bosi wenu .Mungu siyo jumanne qumamakeee!Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mramba alishavuta Mkuu, kwani ndio alikuwa mmiliki?Mramba kwani bado yupo?
Maisha safiiKumbe nyie ni wajinga!
Badala ya kuomba ccm ife mnaomba afe mtu?
Haya baada ya kufa kwake vipi maisha?
Binti aliuawa ROMBO hotel, sasa wewe ulitaka aseme aliuawa Mwanza hotel?
Udhaifu wake ni mbususu mkuu akiona warembo anachaganyikiwa sana