Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hotel ya kuogopwa hiyo hapo
Kumetokea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hotel ya kuogopwa hiyo hapo
Amekupitia!!???Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Yeye huyoMramba alishavuta Mkuu, kwani ndio alikuwa mmiliki?
Kwa mujibu wa nabii huyo binti aliuawa na wamiliki wa hoteli? Au ni government interests?Binti aliuawa ROMBO hotel, sasa wewe ulitaka aseme aliuawa Mwanza hotel?
Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.
Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?
Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.
Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!
Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Je aloyasema yapo ?? Ni ya kweli???Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.
Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?
Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.
Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!
Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Kama anao ushahidi wa hayo mauaji hali itakuwa mbaya zaidi kwa wamiliki wa Hotel, wenyewe wanajua bora wanyamaze.
Aliwatesa Sana Wachagga. Sijawahi kuona shetani kama Yule. Eti kila Jumapili anawahi kanisani na kupitisha kapu la sadaka kinafiki. Hongereni shemeji zangu maombi yenu yalipokelewa kwa Mungu. Chaggas are like Jews. Do not temper with them.waacheni watu wafunguke.
mimi sio mchaga, ila najua kwanini safari hii wachaga wameenda uchagani kwa wingi kusherekea xmas na mwaka mpya huku wakiwa na nyuso zanye furaha/bashasha. yule mtu alikuwa shetani sana.
Usihamishe magoli wewe kenge wa Mwendazake. Rombo hotel siyo habari, bali yeye kutaka kuuliwa, na kisha housegirl kuuliwa na watu wa Magufuli ndiyo Habari. Magufuli was a devil in human form.Huyo Nabii wa kujiita ifikie hatua ajiheshimu.
Hivi unaanzaje kumkashfu Rais kwa tuhuma za kijinga namna ile?! Unamuita Rais shetani kweli?
Niseme wazi mm Rais Samia sifurahishwi na baadhi ya matendo yake lakini siwezi kamwe kumvunjia heshima kwa kiwango kile.
Hali kadhalika hugo nabii wa kujiita alivyo mjinga anataja hotel ya watu kwa kuituhumu kwa kashfa kubwa ya mauaji ilhali hana hata ushahidi!
Rombo hotel mshtakini mahakamani huyo mpuuzi.
Yule muovu ndiye alikuwa maana halisi ya gaidi.Magufuli alikuwa gaidi
Mbona mwendakuzimu hakudumu na alikuwa baba wa uongo!!??Ili udumu na kuendelea kupata wafuasi sema uwongo!
😀 😀 😀, watu mbingu wanazitaka na dunia hali kadhalika.Askofu hutaki kwenda kukutana na Yesu
Mimi na akili chache,Hii ndiyo Mbinu aliyokuwa anatumia Mwendazake kuwaonea na kunyang'anya mali wale aliyotaka kuwashughulikia kwa kuwambikia neno la mafisadi na bahati mbaya waTz wenye akili chache kama za kwako walikuwa wakishangilia na kubariki vitendo vya kinyama vya aina hii.
Mbn unakereka sana,ulimwendea alikukataa nini?tujuavyo Mwingira ni miongoni mwa watumishi wachache waliokemea dhulma tena akithubutu bila uoga.Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.