Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
"Wakimalizana na sisi, watawageukia na nyie" by Tundu Antipas Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukemea nini dhuluma huku yeye mhuni mkuu, Mimi sio kahaba useme anaweza ni fata, tumieni akili nyie sio mihemko kuwa mtumishi hakukupi utakatifu, nasema hao wangemtaka akiisha asubuhi tu kwani gwajiboy na yule mdada si alitumiwa akamu record hukuona gwajiboy akihamia ccm.Mbn unakereka sana,ulimwendea alikukataa nini?tujuavyo Mwingira ni miongoni mwa watumishi wachache waliokemea dhulma tena akithubutu bila uoga.
Niliwahi kulala hapo mwaka 1988 mwezi Disemba.Hadi napata hallucinations.Hotel ya kuogopwa hiyo hapo
Wacha roho mbaya kama za wahutu wenzakoSwali Hilo linatokana na maneno yake leo
Ana wivu wa kichawiAcha nongwa
Kampitia dadakoAmekupitia!!???
Tunacho weza kusema ni MUNGU FUNDI!!!Wengi walijua wangetamba miaka 20 mbele, ndio mana walikuwa na slogan yao ya atake asitake
Kwa akili zako kiduchu ukapigia mstari kuwa ni kweliHakuwa analipa kodi?Kwa nini mali zake za thamani kubwa ziliharibiwa?Kisa cha kumuua mfanyakazi wake ni nini?Mwili wake uko wapi/alizikwa wapi?
Maskini bwana sasa billion kumi unashangaa tafuta pesa kijanaSwali Hilo linatokana na maneno yake leo
Hakulenga wachaga...yeye aliminya wenye janjajanja tu na bahati mbaya wachaga wengi ndo mkawa victim. Msimlaumu kwa mapungufu yenu..nyie ndio mjirekebisheAliwatesa Sana Wachagga. Sijawahi kuona shetani kama Yule. Eti kila Jumapili anawahi kanisani na kupitisha kapu la sadaka kinafiki. Hongereni shemeji zangu maombi yenu yalipokelewa kwa Mungu. Chaggas are like Jews. Do not temper with them.
Hatujasahau, sijui anasemaje?Huyu nabii alikulaga muke ya muchagga fulani!
Hakika nampenda huyu Mzee, alimtabiria Magufuli kifo na kweli Magu hakukatiza miezi 6 akavuta kamba
Weye mwenye mbichwa mkubwa kama radio bendi moja una-quote hizo akili zangu ili ugundue makinikia?Kwa akili zako kiduchu ukapigia mstari kuwa ni kweli
USSR
Bank inaendeshwaje kijanja janja mkuu tuelezeHasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk
Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi