TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Wote hawa ni sehemu ya wale wahuni, why leo na siyo jana?.Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
👉🏾 Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hawa ni sehemu ya wale wahuni, why leo na siyo jana?.Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Swali Hilo linatokana na maneno yake leo
Mimi mgogoWacha roho mbaya kama za wahutu wenzako
Acha akili ndogo,mashamba yalichomwa na wananchi kwenye mgogoro wa muda mrefu na wananchi masikini baada ya efatha kuzulumu hadi buffer zone.Despite all odds.
Kutetekeza mashamba ni dhambi na laana kubwa sana. Ni ajira ngapi zimepotea hapo. Ni watu wangapi ambao wangepata sehemu y msaada wa chakula wameathirika. Serikali imepoteza kodi kiasi gani kwenye haya mashamba kusimama kazi...
Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Legacy uchwara ya mtutu wa bunduki ileDuh!Hii "regase" kuilinda "isijichafue" ni kazi kweli!🤔
Hizo za bilioni 10 ziliteketezwa na awamu ya 5 , yeye anazo zaidi ya hizoSwali Hilo linatokana na maneno yake leo
Ila kutakuwa na kitu kinakuja, kama vile anajihami, ngoja tusubiri. Usikute huyo Dada aliuawa na yeye Nabii sasa labda upelelezi umekamilika wanataka kumshitaki kaja kujihami ili kuhadaa jamii kama alivyodandia katiba Mbowe na ugaidi.Hizo za bilioni 10 ziliteketezwa na awamu ya 5 , yeye anazo zaidi ya hizo
Tumetoka mbali kwakweli
Yaani, mtu anamuomba Mungu alete kichaa, akadhani kichaa anachagua wa kudhuru, kichaa kamchakaza yeye anatupigia yowe sasaHii nchi ngumu sana
Kwahiyo wajirekebishe waache kupambana kwenye maisha wawe goigoi kama waluguru.Hakulenga wachaga...yeye aliminya wenye janjajanja tu na bahati mbaya wachaga wengi ndo mkawa victim. Msimlaumu kwa mapungufu yenu..nyie ndio mjirekebishe
Yaan 🤣🤣Tumetoka mbali kwakweli
Hivi huyu Askofu Mwingira si ndiye alikwa na kesi ya kiwanja alichopewa pale Kawe na muumini wake yule wakili maarufu jijini, na alipogundua anatembea na mke wake akafungua kesi ya kutaka kumnyang'anya kiwanja?Yaani, mtu anamuomba Mungu alete kichaa, akadhani kichaa anachagua wa kudhuru, kichaa kamchakaza yeye anatupigia yowe sasa