Askofu Niwemugizi amshauri Rais Samia Suluhu kuanza na Katiba Mpya

Ya kaisari yana uhusiano gani na katiba mpya? Majizi ya kura mkisikia katiba mpya mnachanganyikiwa maana mnajua udhalimu wenu utakosa nafasi. Bila machafuko sioni katiba mpya ikipatikana kwa njia ya amani.
Ahaaaa, Tindo umefikia hali mbaya sana. Na hii ni baada ya kuona wananchi hawawapi sapoti.
 

Kama viongozi wa kisiasa wanaohubiri madhabahuni ni waumini, basi maaskofu wanaotaka katiba mpya ni watanzania wenye nia njema na nchi.
 
hakuna anaekubali kujichimbia kaburini lake mwenyewe
 
Ahaaaa, Tindo umefikia hali mbaya sana. Na hii ni baada ya kuona wananchi hawawapi sapoti.
Hayo ni matamanio yako wananchi wasitupe support, kwa bahati mbaya ukweli ni kinyume na matamanio yako. Ndio maana mkisikia katiba itakayotoa haki mnajua fika ukweli wa udhalimu wenu utafahamika.

Ukiona timu ya mpira haitaki technology ya VAR basi ujue timu hiyo haina uwezo wa kushinda kihalali. Na kwa taarifa yako ccm ingekuwa inakubalika na wananchi, wangekubaliana na katiba mpya bila usumbufu wowote.
 
Huyu ni zero bright ni yule aliyepeleka sanamu ya Mama Bikira Maria Chato?
 
Katiba mpya mwaka mwisho apite urahisi uchaguzi mitano tena....iwe rahisi
 
Mfano ninaowalaumu ni kama wale wa Askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo. Maana wale ni kama misukule, anachosema Gwajima wanakiamini.

Wengine ni wa TAG wale waliompa Mwendazake tuzo ya ushindi dhidi ya Corona. Na Mungu akawaonyesha kuwa TAG ni wafuasi wa Shetani kwa kuwa Magufuli alikufa kwa Corona hiyo hiyo aliyoipuuza
 
Sikuhz viongozi wa dini wanajinadi mno kwenye siasa had nakosa imani nao
Je kiongozi wa dini hana haki ya kujadili mustakabali wa nchi yake? Au yeye amepoteza sifa hiyo baada ya kuwa kiongozi wa dini na Utanzania ameupoteza?
 
Be cool my fellow friend, niny huwa mnazungumzia haki gan!!!? Mtu mwenyew anatakiwa kuzungumzia dini na siyo siasa yey si mwana siasa,,, in fact dini na siasa havita kiwi kwenda pamoja vitu hivi,
Kwa hiyo unamanisha mwanasiasa tu ndo anahaki ya kuzungumzia siasa. Basi isingefundishwa mashuleni. Je watu wa fani zingine hawastahili kuzungumzia siasa? Maana tuna wahandisi, wachumi, madaktari n.k je unasemaje juu ya hilo?
 
Usimsahau na Dr Shoo wa KKKT, naye amepambana sana dhidi ya UDHALIMU wa Mwendazake
Nilikuwa namtafuta jina lake nikawa nimesahau. Asante kwa ukumbusho. The rest ni manabii wa uongo tu. Mitume wa mashetani.
 
Kanisa la Tanzania lina changamoyo nyingi sana. Mtu kama Gwajima anakuwaje Mtumishi wa Mungu? Au mtu kama Pengo au Musa alhad?
 
Hujafanya tathimini? Mbowe katoa tamko juu ya kuporwa bil 2 kapuuzwa.

Kuhusu katiba mpya mnatafuta kisingizio. Maana hata ikipatikana kama wananchi hawakubali mtaambulia nini?
 
Hujafanya tathimini? Mbowe katoa tamko juu ya kuporwa bil 2 kapuuzwa.

Kuhusu katiba mpya mnatafuta kisingizio. Maana hata ikipatikana kama wananchi hawakubali mtaambulia nini?

Ulitaka Mbowe aliposema kaporwa bilioni mbili nini kifanyike? Aliporwa hela za chama au za biashara zake? Aliporwa hizo hela na Ccm? Unaongeaga use@@nge gani we dogo?

Ipatikane hiyo katiba mpya ili udhibitisho wa kutokukubalika uwe wazi.
 
Tunamshukuru kwa Ibada ya Mazishi.Ila viongozi wengine waige mfano wa huyu askofu,naonaga anaongea ukweli mtupu,ambayo ni sifa ya mhimu sana kwa kiongozi mkubwa wa dini.maskofu wengi ni waoga sana,hasa linapokuja kutoa hoja ambayo itatofautiana na viongozi waandamizi wa serikali.

Ila mara hii hata nyang'anywa pasport
 
Ulitaka Mbowe aliposema kaporwa bilioni mbili nini kifanyike? Aliporwa hela za chama au za biashara zake? Aliporwa hizo hela na Ccm? Unaongeaga use@@nge gani we dogo?

Ipatikane hiyo katiba mpya ili udhibitisho wa kutokukubalika uwe wazi.
Mbowe aliongea mengi mojawapo ni kuporwa bil 2 ambazo kihalisia hajaporwa. Nia hasa ni kuonyesha kuna utawala usiofaa ni tarajio lake kuwa angewin support ya umma.

Ila nakuhakikishia katiba mpya ni kisingizio tu. Chadema ilishapoteza legitimacy mbele ya umma.
 

Sioni uhusiano wa support ya kisiasa na Mbowe kuporwa 2b. Huna jipya bali naona unaongea utoto tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…