Ok, kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anapotoa hotuba wewe unatarajia nini kama inaimpact katika jamii? Acha kujifyatua.Sioni uhusiano wa support ya kisiasa na Mbowe kuporwa 2b. Huna jipya bali naona unaongea utoto tu.
Huyu ndio alimzika mtu wenuHuyo Askofu ni Askofu koko suluhu ni watu kuiamini injili sio katiba.Yesu aliwatuma waende kuhubiri watu waiamini injili.Askofu anahubiri watua waiamini katiba mpya aisee!! Yesu alikuwa sahihi alusrma je Mwana wa Adamu akirudi ataikuta imani? Huyu anayejiita Askofu imani keshaitupilia mbalu
Huyo kijana ana hoja duni sana , huna haja ya kuhangaika naye , ni ingizo jipya au NjukaSioni uhusiano wa support ya kisiasa na Mbowe kuporwa 2b. Huna jipya bali naona unaongea utoto tu.
Alimzika adui mtesi wake.Huyu ndio alimzika mtu wenu
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! mtu unamteka halafu anakuzika yaani !Tunamshukuru kwa Ibada ya Mazishi.Ila viongozi wengine waige mfano wa huyu askofu,naonaga anaongea ukweli mtupu,ambayo ni sifa ya mhimu sana kwa kiongozi mkubwa wa dini.maskofu wengi ni waoga sana,hasa linapokuja kutoa hoja ambayo itatofautiana na viongozi waandamizi wa serikali.
Ila mara hii hata nyang'anywa pasport
Ahaaa, sasa kama nchi inapora mali za wafanyanyabiashara na mkuu wa chama cha upinzani amehutubia wananchi si wangeandamana?Huyo kijana ana hoja duni sana , huna haja ya kuhangaika naye , ni ingizo jipya au Njuka
Elimu itolewe kuhusu katiba.wengi hatujui umuhimu wake
Huyo Askofu ni Askofu koko suluhu ni watu kuiamini injili sio katiba.Yesu aliwatuma waende kuhubiri watu waiamini injili.Askofu anahubiri watua waiamini katiba mpya aisee!! Yesu alikuwa sahihi alusrma je Mwana wa Adamu akirudi ataikuta imani? Huyu anayejiita Askofu imani keshaitupilia mbalu
Yeah hafu tunakuwa na serikali ya muungano , ambayo itakuwa chini ya kuongizi wa muungano, waziriBasi kila mtu we na serikali hake
Ahaaa, sasa kama nchi inapora mali za wafanyanyabiashara na mkuu wa chama cha upinzani amehutubia wananchi si wangeandamana?
Sawa umetumia uhuru wako wa kikatiba kuandika, lakini hujautendea haki Ubongo wako. Huo uharo hata MATAGA na Lumumba buk 7 wameacha kuandika siku hizi baada ya Rais SSH kuonyesha dira mpyaMbowe aliongea mengi mojawapo ni kuporwa bil 2 ambazo kihalisia hajaporwa. Nia hasa ni kuonyesha kuna utawala usiofaa ni tarajio lake kuwa angewin support ya umma.
Ila nakuhakikishia katiba mpya ni kisingizio tu. Chadema ilishapoteza legitimacy mbele ya umma.
Ujumbe umeupata ndio maana umeamua kubwatuka kama mnyeo unaharisha. Lakuni response ya wananchi unaijua ilivyo. Habari za Mataga na Lumumba ni juu yao kutoandika. Mimi naongelea hali halisi.Sawa umetumia uhuru wako wa kikatiba kuandika, lakini hujautendea haki Ubongo wako. Huo uharo hata MATAGA na Lumumba buk 7 wameacha kuandika siku hizi baada ya Rais SSH kuonyesha dira mpya