Maji yamezidi mchele
Yasemekana Israeli kama vile anataka kuondoka nae Mavumbini ila bado tu hajaamua ni muda gani au amsamehe kwa sasa.
Du bila kupingwa.Yasemekana Israeli kama vile anataka kuondoka nae Mavumbini ila bado tu hajaamua ni muda gani au amsamehe kwa sasa.
Sasa Hivi Wanakuja Wenyewe UtawasikiaAskofu alindwe
Cha kushangaza 'wanaoishi kwa sadaka' ndio wanaoogopa kufa kuliko wanaoishi kwa jasho lao. Inaonekana huko madhabahuni ni kunono ndio maana wengi wanaogopa kupaacha na kwenda 'kwa Baba' wakihisi kule juu hawatapata maslahi manono kuliko wanayoyapata hapa Duniani.Askofu Ruwaichi ameongea kama mchungaji halisi,Viongozi wa serikali ni lazima wawe na huruma ya kutetea uhai wa watu wao hasa makundi yaliyo hatarini kama wazee wasipate CORONA kwa kutoa taarifa sahihi na kuchukua hatua stahiki.
Ukweli unaongelewa kwenye Biblia ni Yesu. Yeye ndio ukweli utakao tuweka huru. Samahani, tafsiri nyingi kuhusu kauli hii zinapotoshwa.Mungu ni mkuu na mwenye mamlaka kwa kila kiumbe alichokiumba na kwenye biblia tumeambiwa tuseme ukweli na ukweli utakuweka huru
“Mwamini Mungu, lakini mfunge vizuri Ngamia wako”-Mtume Muhammad S.A.WMadaktari wanatibu lakini Mungu ndiye Mponyaji!