Jipeni tu moyo kwa hii half time rudini dakika 45 zilizobakia tuwanyooshe. Yote yalifanywa na Hayati yalikuwa chini ya mamlaka ya rais, CCM ndio chama tawala na ilani ni ile Ile.MATAGA hamtusumbui tena maana tushajua jinsi ya kuwashughulikia
AmenHata yesu aliwakemea mafarisayo kwa nguvu zote
Iwe pasaka njema kwako. Amesahau yale majibu yake pia [emoji23]Hata yesu aliwakemea mafarisayo kwa nguvu zote
Sema wako siyo wetuJipeni tu moyo kwa hii half time rudini dakika 45 zilizobakia tuwanyooshe. Yote yalifanywa na Hayati yalikuwa chini ya mamlaka ya rais, CCM ndio chama tawala na ilani ni ile Ile.
Bwana ametoa, bwana ametwa eeh mungu umpe mpendwa wetu raha ya milele
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kama ulivyo wewe na ukoo wenu wote wa panyaAskofu mchumi tumbo.
Kwani nimemtaja Mbowe?Sema wako siyo wetu
Hapo sasa ndiyo unajidhihilisha uzumbukuku wa MATAGA wa lumumbaKwani nimemtaja Mbowe?
Maisha halisi ya Ukristo ni matendo mema yenye huruma,injili na siasa ni kama mafuta na maji.Mahubiri lazima yaakisi maisha halisi ya jamii.....dini na imani zinahusu maisha yote yote ya watu.... Ndio maana viongozi wa kisiasa hawakauki Mimbarani,hawakauki kuwaaihi watumishi wa dini/imani waombe kwa ajili ya mambo yote. Wewe ndiye unayetaka kutenga Si-hasa (maisha ya watu) na Dini/imani. KAMWE HUWEZI TENGANISHA VITU HIVI.
Byakwanwa- RC Mtwara9. Biswalo Mganga- DPP
10. Adelras Kilangi- AG
11. Kilaba- DG TCRA
Mazezeta wa lumumba ni kiumbe wa ajabu sana wanasahau hata walichokiropoka sekunde mbili nyuma ππππππIwe pasaka njema kwako. Amesahau yale majibu yake pia [emoji23]
Na kuna mahali Magu alikuwa Askofu?Magu alikuwa anahubiri amani?
Sawa Da Maria SarungiKama ulivyo wewe na ukoo wenu wote wa panya
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Sawa Da Maria Sarungi
Kwaiyo amchague Mbowe, Mnyika, Sugu wawe RC?Hapo sasa ndiyo unajidhihilisha uzumbukuku wa MATAGA wa lumumba