Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,122
Jipeni tu moyo kwa hii half time rudini dakika 45 zilizobakia tuwanyooshe. Yote yalifanywa na Hayati yalikuwa chini ya mamlaka ya rais, CCM ndio chama tawala na ilani ni ile Ile.MATAGA hamtusumbui tena maana tushajua jinsi ya kuwashughulikia
Bwana ametoa, bwana ametwa eeh mungu umpe mpendwa wetu raha ya milele
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]