Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #61
Gwajima ni askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima hivyo hahusiani na hawa maaskofu wa kanisa la Ufunuo, angalia hiyo chapa ya kanisa la Ufunuo kwa hiyo picha hapo chini.Hiyo ufufuo sio ya Gwajima kweli??
Gwajima kwasabb ni mbunge wa ccm hawezi kutoka front mwenyewe anawatuma hawa chawa wake
Anapiga zote.huyu mchungaj atakuwa anakula tungi sana kama sio bang
Kwa hio ukiona makaburi ya Dini fulani so wao ndio wahusikaPale Rwanda mauji ya halaiki wahusika ni hao wanaolalamikiwa,. View attachment 2725088Mpwayungu village ni shahidi
Waache kujiiendekezaASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.
Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.
"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.
Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.
Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."
[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Badala ya kusema uzuri au ubaya wa mkataba wa DPW yeye anawashambulia TEC. Akili za mbuzi hiziASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.
Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.
"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.
Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.
Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."
[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Kanisa gani hilo mkuuKuna church na churches Kuna kanisa na makanisa.
Kanisa ni moja tu ambalo limeutunza Ukristo Duniani kwa muda wa miaka 2023 na miezi 8 Sasa.
Kanisa takatifu la mitumeKanisa gani hilo mkuu
Itv the super brand😁😁😁Ukishaona press, ITV, TBC na Channel Ten wapo ujue huyo ni kada wa ccm. CCM huzoa kila aina ya takataka inayoisifu.
Hawa watu wanaolala na kuamka, wanajitangaza wachungaji, manabii, maaskofu na mitume, ni shida tu. Hawa ni matapeli wabaya kuliko hata tunaowafahamu.Si ajabu mpumbavu kama huyu hata waraka wenyewe hajausoma anadandia gari kwa mbele. Watu kama hawa ndiyo wanawafungisha waumini wao hadi wafe wakati wao wanaotesha vitambi kama masimtank.
Hayo Mavazi alivyovaa yenyewe ni ya kanisa la Roman inaitwa " ROMAN COLLAR"ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.
Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.
"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.
Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.
Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."
[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Sasa huyu ni Askofu gani ?!. TEC wameainisha mapungufu ya mkataba, na kisha kumuomba mh. Rais aingilie kati . Na ni baada ya bunge kushindwa kujuwa wajibu wao. Halafu anakuja mtu anajiita naye ni Askofu kwa kushambulia wenye hoja. Badala ya kujibu hoja zao !!ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.
Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.
"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.
Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.
Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."
[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Hayo makanisa ya akina Mwigulu ajili ya kupitisha mizigo bandarini kwa msahamaHawa kweli wa kuhurumiwa baadala wajadili mkataba uliopingwa na TEC wao wanaushambulia ukatoliki.
InawezekanaHayo makanisa ya akina Mwigulu ajili ya kupitisha mizigo bandarini kwa msahama
Nchi inamatapeli balaaInawezekana