Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

Askofu wa kanisa la Ufunuo ashutumu viongozi wa Kanisa Katoliki kwa kuingilia masuala ya siasa

Hiyo ufufuo sio ya Gwajima kweli??
Gwajima kwasabb ni mbunge wa ccm hawezi kutoka front mwenyewe anawatuma hawa chawa wake
Gwajima ni askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima hivyo hahusiani na hawa maaskofu wa kanisa la Ufunuo, angalia hiyo chapa ya kanisa la Ufunuo kwa hiyo picha hapo chini.
 

Attachments

  • Screenshot_20230822-133523.png
    Screenshot_20230822-133523.png
    499.1 KB · Views: 2
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.

Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.

"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.

Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.

Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."

[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Waache kujiiendekeza
Hawatambuliki duniani hata mbinguni
Njaa zitawaumiza
Hatuwasikilizi hao matapeli wa dini
Kanisa Katoliki limeongea Nasi tumesema Amina Mwanakondoo ameshinda
 
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.

Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.

"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.

Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.

Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."

[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Badala ya kusema uzuri au ubaya wa mkataba wa DPW yeye anawashambulia TEC. Akili za mbuzi hizi
 
Kuna takataka nyingine nimeisikia inalalama tu kuwa ooh wakatoliki sio dini kubwa, kwani nani anapambania udiki kubwa. Hivi huwa ni nani ana approve vilaza kama Mzee wa Upako kuwa wachungaji. Nikagundua kuwa kumbe ana sababu yake binafsi. Huyu mzee wa Upako kachanganyikiwa lolss. Inaonekana kalewa ktk press yake leo dahhh.
 
Si ajabu mpumbavu kama huyu hata waraka wenyewe hajausoma anadandia gari kwa mbele. Watu kama hawa ndiyo wanawafungisha waumini wao hadi wafe wakati wao wanaotesha vitambi kama masimtank.
Hawa watu wanaolala na kuamka, wanajitangaza wachungaji, manabii, maaskofu na mitume, ni shida tu. Hawa ni matapeli wabaya kuliko hata tunaowafahamu.

Serikali kama imefikia mahali pa kiwatafuta wachungaji wa ajabu ajabu kuitetea, lazima ipo kwenye hali ngumu sana.
 
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.

Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.

"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.

Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.

Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."

[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Hayo Mavazi alivyovaa yenyewe ni ya kanisa la Roman inaitwa " ROMAN COLLAR"
 
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.

Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.

"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.

Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.

Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa,washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."

[emoji2424] Askofu Charles FortunatusView attachment 2725068
Sasa huyu ni Askofu gani ?!. TEC wameainisha mapungufu ya mkataba, na kisha kumuomba mh. Rais aingilie kati . Na ni baada ya bunge kushindwa kujuwa wajibu wao. Halafu anakuja mtu anajiita naye ni Askofu kwa kushambulia wenye hoja. Badala ya kujibu hoja zao !!
 
zero brain yani sufuri kabisa, vita ya ukraine na urusi wameanzisha maaskofu wasomi, shenzi kabisa vita ya kikabila vya ethiopia wameanzisha maaskofu wasomi facken, umejianzishia tu kanisa baada ya kufeli mara mbili darasa la saba unapambana na wasomi wa seminary, potelea mbali huko, hao wanasiasa wasikemewe uhuni kwanini wao kina nani wakizingua waraka utatolewa tena na tena
 
Back
Top Bottom