Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Teh teh tehHaya Makanisani ya watu binafsi yakae Kwa kutulia View attachment 2725075
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh tehHaya Makanisani ya watu binafsi yakae Kwa kutulia View attachment 2725075
Ukishaona press, ITV, TBC na Channel Ten wapo ujue huyo ni kada wa ccm. CCM huzoa kila aina ya takataka inayoisifu.
Naona unacheka kigazeti gazeti 😀😀Teh teh teh
Unapenda ishu za ushoga sana
Kwa sakata hili la Bandari, nimepata majibu niliyojiuliza bila majibu namna babu zetu walivyochukuliwa utumwani bila ya kipingamizi huku wakiwa na uwezo wa kujihami ama kukimbia!Hawa kweli wa kuhurumiwa baadala wajadili mkataba uliopingwa na TEC wao wanaushambulia ukatoliki.
Wapuuzi ni wengi. Walikuwa wanaosubiri wengine washauri ili wajitokeze kama chawa! Acheni kujikomba. Tatizo ni hivyo vibanda vyenu mnavyoviita makanisa !!ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.
Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.
"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.
Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.
Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa, washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."
[emoji2424] Askofu Charles Fortunatus
View attachment 2725068
Mungu hadhihakiwi,Mungu atabaki kuwa Mungu na hata siku moja hatabadilika,alichokianzisha yeye kitadumu milele na kwa kweli hakuna mwanadamu yeyote iwe kwa Rushwa,Nguvu za Dola au Vita atakayeweza kupingana na Mungu maana mambo yake ni adili na sheria zake ni kamilifu.Hekima ya Mungu Ni upumbavu kwa wanadamu na upumbavu wa wanadamu ndo hekima ya Mungu. Kila Jambo unaloliona Ni ujinga ndo Mungu alifanya hivo sbb hata siku ya Mungu sio Nuru Ni giza.
Yaani acha tu, huyu jamaa ni pure witch na anaukomazia kwenye vinena vya wamama. Na akishamtafuna, biashara zote za huyo mama lazima ziporomoke.Ukifuatilia episodes za huyu mwamba wa Mungu mnaweza kupoteana. Yule zumaridi kwa huyu ni malaika. Dunia ina mambo mengi
Kweli inaelekea unamfahamu.Yaani acha tu, huyu jamaa ni pure witch na anaukomazia kwenye vinena vya wamama. Na akishamtafuna, biashara zote za huyo mama lazima ziporomoke.
Mwenyewe anaonekana ni mla shisha.ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ameongoza jopo la Maaskofu 6 na kutoa tamko Sakata la Bandari.
Askofu Charles Fortunatus aliekuwa miongoni mwa Maaskofu hao amewashutumu viongozi wa dhehebu la Kikatoliki kwakile alichodai kuwa wao ndio wamekuwa chanzo cha vurugu kwenye maeneo mengi duniani kutokana na wao kuingilia masuala ya Siasa.
"...MUNGU aliziamini sana dini, Lakini hizi hizi dini zimekuwa wa kwanza kuleta mvurugo katika Dunia hii.
Bila kuogopa kwa sababu tupo kwenye tamko la Kiaskofu, Sisi Wakristo na Waislamu tunaelewana lakini kwenye Wakristo tumegawanyika madhehebu mengi lakini ukisikia Nchi nyingi zilizovurugika Duniani dini kuu Mama ambayo ni Katoliki imekuwa ya kwanza kuanzisha vurugu Duniani kila mahali.
Mimi niiombe Serikali waishauri Katholiki wasijiingize kwenye masuala ya Siasa, washikilie kwenye upande mmoja tu wa Dini."
[emoji2424] Askofu Charles Fortunatus
View attachment 2725068
Hakuna ushahidi 😂Mwenyewe anaonekana ni mla shisha.
Muangalie machoniHakuna ushahidi 😂
Hao maaskofu wa vibanda vya nyanya wanasemaje ??Mwenyewe anaonekana ni mla shisha.
Inashangaza sana, huenda wanatumika tu hawa,Hawa kweli wa kuhurumiwa baadala wajadili mkataba uliopingwa na TEC wao wanaushambulia ukatoliki.