Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

huwezi kupambana na wachagga kkkt ukashinda diocese ya mashariki na pwani wao ni wengi kwenye ungozi na wengi wao ni wachungaji viongozi wa sharika mbali mbali kwahiyo hiyo suala likienda kwenye kikao cha halimashauri cha diocese alizima interest wachagga zishinde
 
huwezi kupambana na wachagga kkkt ukashinda diocese ya mashariki na pwani wao ni wengi kwenye ungozi na wengi wao ni wachungaji viongozi wa sharika mbali mbali kwahiyo hiyo suala likienda kwenye kikao cha halimashauri cha diocese alizima interest wachagga zishinde
Mbona Mwenyewe kimaro ni mchaga au unamuongelea malasusa
 
Dr karibu Sana Kanisa Kuu la mitume Katoliki
Eh, nijuavyo imani zenu ni tofauti, " KKKT wanaomba kupitia jina la YESU na nyie mnaomba kupitia ALIYEKUWA BIKRA[MARIA]" Itakuwa ngumu sana kwa Malasusa ku-switch.
 
Back
Top Bottom