johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #301
Mchungaji Kimaro ameomba msamaha huku analia kwa namna alivyokiuka kiapo chake!Sio Kimaro alipaswa kumsamehe Malasusa kweli?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji Kimaro ameomba msamaha huku analia kwa namna alivyokiuka kiapo chake!Sio Kimaro alipaswa kumsamehe Malasusa kweli?!
Kosa lake ni Kuwakejeli Vijana wa Kanisa lake badala ya kuwaimarishaHivi kosa lake ni lipi? Kwani waumini kumshabikia mchungaji wao ni kosa? Nawe askofu fanya yako ushabikiwe.
Msamaha umeombwa mubashara Upendo TvKusamehena hadi waruke hewani mubashara!! Kwani msamaha aliona kupitia vyombo vya habari? Au huenda makosa yake yalikiwa na athari kubwa kwa jamii
Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
Mbona Mwenyewe kimaro ni mchaga au unamuongelea malasusahuwezi kupambana na wachagga kkkt ukashinda diocese ya mashariki na pwani wao ni wengi kwenye ungozi na wengi wao ni wachungaji viongozi wa sharika mbali mbali kwahiyo hiyo suala likienda kwenye kikao cha halimashauri cha diocese alizima interest wachagga zishinde
Eh, nijuavyo imani zenu ni tofauti, " KKKT wanaomba kupitia jina la YESU na nyie mnaomba kupitia ALIYEKUWA BIKRA[MARIA]" Itakuwa ngumu sana kwa Malasusa ku-switch.Dr karibu Sana Kanisa Kuu la mitume Katoliki
Kwa PAPA FransDr karibu Sana Kanisa Kuu la mitume Katoliki