Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma inapoelekea....!
Kama risasi zikamlemaza Lissu ubongo halafu bado mnashindwa kujibu hoja zake, basi nyie mtakuwa ndio mazezeta kabisa.Askofu Kobe ana laana ya kutelekeza mtoto wake wa damu, lissu naye risasi za mbowe zilimlemaza sio miguu tu Hadi ubongo zililemaza, asa ukiwasikiliza watu hawa na ukawaelewa basi ujue uwendawazimu unakunyemelea.
Una kiburi cha uzima.Askofu Kobe ana laana ya kutelekeza mtoto wake wa damu, lissu naye risasi za mbowe zilimlemaza sio miguu tu Hadi ubongo zililemaza, asa ukiwasikiliza watu hawa na ukawaelewa basi ujue uwendawazimu unakunyemelea.
Ni zamani lakini maneno yanadumuNi ya leo hii? Au umbea tu
Ni zamani lakini maneno yanadumu
Maana yake wana content mojaUmesema kamuunga mkono lisu, ina maana alisema baada ya Lisu kusema,
Nakubali, kwa kweli haya maneno yanaishi.
Tukubaliane kwenye machache lakini Tanganyika lazima irudi la sivyo tuweke kila jambo sawa sio wao wajenge kwetu sio kwao tusijenge. Nyerere kafa na ubaya wa kuiua Tanganyika.Tanganyika lazima irudi.
Ukweli ni kwamba Muundo wa Muungano wetu ni wa kipekee, pengine kidogo unaweza ukawa unafanana na ule uliokuwa wa Senegal na Gambia.
Asante kwa kufafanua vizuriUkweli ni kwamba Muundo wa Muungano wetu ni wa kipekee, pengine kidogo unaweza ukawa unafanana na ule uliokuwa wa Senegal na Gambia.
Kama alivyouliza Askofu, ni jambo la kushangaza kwamba kwa upande wa bara, mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na Rais wa Jamhuri wa Muungano. Hata kuna nyakati ambazo Wizara ambayo si ya muungano inasimamiwa na Waziri kutoka upande wa Zanzibar, mfano Mbarawa ashawahi kuwa waziri wa wizara ya maji.
Kwanini nguvu kubwa itumike kulinda jambo ambalo kwa macho ya wengi linaonekana lina kasoro, kuna haja gani ya kuongoza watu wanaonung'unika? Kwanini isifanyike kura ya maoni kuamua kama kuna haja ya kuwa na Muungano au la, kama haja ipo ndipo turudi kwenye muundo wake.
Hili la Muundo wa Muungano ndo lilikuwa sababu kubwa ya Bunge la katiba kuvurugika. Kama alivyosema Askofu hapo juu, jambo hili tunaliahirisha tu ila kiukweli litakuwa linatuwinda na kujadiliwa kila wakati.
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
Ahsante.
Serikali tatu halikwepeki Katiba mpya Katiba mpya Katiba mpya.Tukubaliane kwenye machache lakini Tanganyika lazima irudi la sivyo tuweke kila jambo sawa sio wao wajenge kwetu sio kwao tusijenge. Nyerere kafa na ubaya wa kuiua Tanganyika.