Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Hoya m'baba, tayari huku...kuna mtu kalipua visima. Nafikiri umefika sasa wakati wa kumbomoa kama ulivyosema
 
PUMBAAAAA
 
Saudia kama wataleta ujinga watabinuliwa Tu.
Nyie munafurahi saudia ikipigwa na wale wa iran kule wakiviripua vile visima vya mafuta ohooo
shauri lenu mtakuja tembea kwa mguu badala ya daladala. Maanake hao waarabu ndio wanaongoza kwa kuzalisha mafuta duniani kote. Musija mukalalamika nauli ya daladala ikija kuwa buku badala ya 400. Dunia inatera nyie munacheka. Acheni ujinga nyinyi.
 
Mleta uzi anajifanya hajui kuwa pesa za waarabu wajinga wa Saudi Arabia ndizo zimefadhili magaidi na vikundi vingi vya kigaidi duniani?

Pamoja na Jerusalem kuwa mji mtakatufu, uliangamizwa kutokana na watu wapumbavu waliokuwa wanaishi mahali hapo. Utakatifu wa mahali siyo utakatifu wa watu wanaoishi mahali hapo.

Saudi Arabia mpaka huko Maka kutaangamizwa endapo viongozi wa taifa hilo wataendelea kufanya maasi dhidi ya ubinadamu.
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Una udhubutu kweli kweli... Hivi taifa teule lina sifa pia ya kuchinja watu kwa misumeno...!!! !?
 
MZEE Umeongea fact 2puuuuuuu
 
MZEEUmeongea fact 2puuuuuuu
Fact gani? Kwamba mtu akitembea na mke wa mtu au mwanamke mwingine asipewe adhabu?

Fact ya kuhitaji Demokrasia Saudi Arabia?

Lile ni taifa huru, wana utamaduni wao wana mifumo yao ya kiutawala inayofit kwao, wana njia zao na kila kitu chao..... Kutaka kulazimisha tamaduni za mataifa basi ndo ziwe tamaduni za Dunia si sahihi hata kidogo ndo maana wako imara.

Mgogoro wa kishia na kisunni unachochewa na Iran, Iran anahitaji kuitumia Yemen ili aingize Ushia Saudi Arabia.... Taifa lolote lile lebye kujali msingi wa uimara wake ni lazima likatae hali hyo ndo maana Saudi kapeleka wanajeshi Yemen kupigana vita na ukoo wa Houthi wenye kufuata dini ya kishia.

Alifanya hivyo Urusi kuuhami mfumo wake wa ujamaa dhidi ya ubepari wa magharibi. Amefanya hivyo China kupitia sera ya China Moja..... Anafanya hivyo Iran kuulinda ushia wake kupitia Ayatollah....

Uislam haujakataza Ufalme, uislamu umeharamisha Demokrasia-Matendo ya kishenzi ya wanawafame hayawez tumika kuhalalisha kuwa ukoo wao n utawala wa kishenzi. Mapadre wanaolawiti watoto au wachungaji wanaotbea na wake za watu hawawez abadan kuufifisha ukristo duniani coz wanachokifanya n tabia zao personal na sio msingi wa Dini ya kikristo.

Jiulize hayo matendo machafu ya baadhi ya wanawafalme kwann hawayafabyi ndani ya Saudi Arabia?

Mbona wanawafalme wanaokosa ndani ya nchi yao huchukuliwa hatua?

"Prince Turki's execution for murder was announced by Saudi state media on October 18, 2016. He was the first member of the Saudi royal family to beexecuted since the execution of 19 year old Princess Mishaal bint Fahd bin Mohammed Al Saud in 1977."
 
Fact gani? Kwamba mtu akitembea na mke wa mtu au mwanamke mwingine asipewe adhabu?
Hili lakupewa adhabu m2 anaetembea na mke wa wa2 wala sijasema asipewe adhabu

Na kuhusiana na hayo masuala viongozi wa saudia wanafanya mangapi yakishenzi


Wamemuua muandishi wa watu bure

Nakama kweli wanafuata sharia za kiislam walimualika minaj akatumbuize jiddah pale wana uislam gan

Kuhusiana na suala la yemen sawa inawezekana ikawa wajamaa wanataka kueneza ushia ila kule kuripua shule na sehem ambazo hazina sababu yakupigwa ndio DINI ile

Jamaa wanawaunga mkono WAZAYUNI na kuwakandamiza wapalestine kwaminajili gani

Jamaa wanazitumia sehem takatifu za makka na madina kwa mambo zao binafsi hawana dini hata moja wapumbavu wale


Unasema wanapigana na yemen kuzuia Ayatollah wakat huo huo wanaungana na wamagharibi wakiwemo wamarekani kuwapiga waislam wenzao


Hamna VIONGOZI WADINI MLE Mkuu

Wanakula mali za umma kama hawana akili nzuri

Halaf jambo jengne uislam haujawahi na wala hautawahi kukataza demokrasia ila pia haujakataza ufalme

Ila huo ufalme unaendeshwa kwanamna gan ?!


WASAUDIA kwa ushirikiano na WAYAHUDI wana ajenda zao za siri IRAN Ndio mmeifanya kama mbuzi wakafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…