Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Serikali kama unavyopata cheti cha kuzaliwa au cheti cha shule au chuo au nida au hata mtu yoyote unayemuamini makubaliana mnaandiksha cheti na kuwaita mashahidi ambao watakuwa marafiki au nduguHoja yako ni ipi? Kua watu wajioleee tu bila kuwa na utaratibu kiimani! Assume ingekua hivyo hali ingekuaje? Nauliza tu Mtoa hoja..nothing personal!
Siratu nabawiyya imekukalia kushoto Rudi madrasa ujifunze tenamuhamad alifungishwa ndoa na abubakar wakati anamuoa khadija
tupe ufafanuzi hapo kwenye dini kukubali hizi aina zingine za ndoaNiraha Sana kuwasikiliza watu wanatafuta tafuta sababu ya kuhalalisha kitu badala ya kuleta kifungu ambacho kitamaliza hili jambo. Mpaka Sasa hakuna liyelet mwongozo wa ulazima wa ndoa kufungwaa kanisani au ulazima wa kanisa kuendesha mazishi. Wakristo wengi hawamiliki akili zao na wanafuata mambo ambayo ukiwauliza hawayajui Ila kwakuwa wameambiwa na kiongozi wa dini basi wanafuata tu, na ukija kuwauliza hawakupi majibu sahihi ya kibiblia. It's time to wake up guys.
Hata Mimi ni muumini wa kanisa ila Kuna mambo ambayo siyaelewi na Kila siku Huwa nayauliza Ila sipati majibu sahihi so hata mtu akiniuliza swali siwezi kumkomalia tu kwamba aamini kitu ambacho sikijui vizuri. Nashukuru Hili swala la ndoa dini yangu imelisolve kwa kukubali ndoa za kimila pamoja na kiserikali maadam tu Kuna ushahidi wa ndoa kufungwa.
Kwahiyo nakuja kwako au unakuja kwangu?Mwaka huu tunaanza kuish sogea tukae
Tufuate Imani zetu ila akili zetu tusiwakabidhi mitume na manabiiWhat's your point?
Nakuja kwako lkn kwangu panabaki vile vile sibebi chchte kusudi yakinishinda nisisumbuke pa kuishKwahiyo nakuja kwako au unakuja kwangu?
Sasa hapo si tutakuwa tukiishi kwa kutegana.Nakuja kwako lkn kwangu panabaki vile vile sibebi chchte kusudi yakinishinda nisisumbuke pa kuish
SawA tu si kila mtu na mambo yakeSasa hapo si tutakuwa tukiishi kwa kutegana.
Muelewe mleta mada boss. Ameuliza utaratibu unaotumika kufunga harusi sio uwepo wa harusi.
Ook bossWatu wanachanganya kati ya harusi na ndoa harusi ni sherehe inayo tokana na ndoa sasa jamaa anauliza wapi aya kiongozi wa dini alifungisha ndoa na mimi niongez ni jengo gani la ibada enzi hizo za mitumi ilionyesha kuna ndoa inafungwa ndani ya jengo hilo aya moja tu
Wakukurupuka. "Alihudhuria" neans alikuwa moja ya washiriki lakini haisemi alifungisha.Injili ya Yohana sura ya 2 anzia mstari wa 2.
Yesu alihudhuria sherehe ya harusi kana sasa sijui hoja yako ni ipi.....hiyo harusi aliifungisha nani sasa wewe au[emoji28][emoji28][emoji28]
sherehe ya harusi inafuata baada ya ndoaWakukurupuka. "Alihudhuria" neans alikuwa moja ya washiriki lakini haisemi alifungisha.
Umemsahau mwamba aitwaye suleimani, sijui ndoa yake ilifungishwa na naniLabda tu namimi niongezee maswali mawili yanayohusiana na mada hii.
1. Baba wa iman Ibrahim inasemekana alikuwa na wake wawili nikiongozi gani alifungisha hizo ndoa?
2. Jacob mwana wa isaka alikuwa na wake wawili (mtu na dada yake) nikiongozi gani wa dini alifungisha hizo ndoa?
Yangu ni hayo tu wakuu
Mungu anaunganishaje kama hutorudi kwenye mambo ya wanadamu waliojifika utumishi wa Mungu?? Kwa nini ukibahatika kutofariki kwenye ajali unasema Mungu kaniepusha ili ukitokea umeoa au kuolewa na mtu husemi Mungu katuunganisha Hadi hpo utakapoenda kanisani au msikini?Imeandikwa alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
Sasa hapo mtu asie wa dini anawezafunganisha? Na ni nani alie mkuu katika taasisi za kidini ki Mungu?
Haya yalishapita mkuu hakuna haja ya kufukua makaburiMungu anaunganishaje kama hutorudi kwenye mambo ya wanadamu waliojifika utumishi wa Mungu?? Kwa nini ukibahatika kutofariki kwenye ajali unasema Mungu kaniepusha ili ukitokea umeoa au kuolewa na mtu husemi Mungu katuunganisha Hadi hpo utakapoenda kanisani au msikini?