Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Mimi najua tu ile tu ya Kana ambapo Bwana Yesu alialikwa na kutengeneza mvinyoKuna laki moja hapa nataka nimpe mtu akale na wana wake. Ili uipate nahitaji uniwekee aya, mstari au sura ndani ya Quran au Biblia inayoonesha mke na mume walifungishwa ndoa na kiongozi wao wa dini au walifungishwa ndoa na Mtume, nabii au Kuhani?