Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Escrow account ndio ikoje hiyo?.
 
Mkuu, sheria za ulozi ni hatari sana...
Hupewa amri na mizimu yao,, hakuna kujenga wa kununua gari..


Na wengine mizimu inawakatalia hata kuoga Zaidi ya mwaka mzima.

Siyo kwamba hawapendi bata ila ndo hivyo.. Sheria ni kali sana.. Ukikaidi mizimu inakuua
 
wewe maneno mengi nunua hio dawa inaitwa makata....nawa au oga uone utakavyoiloga utatafuta tiba mwenyewe....kama uchawi ni sayansi hio ndio proof yake...
 
Tatizo ndo liko hapo.
Hatutaki kuchosha akili tumeamua kuamin tu.
 
nonsense
 
Mchawi akiwa Mwanaume ni afadhali aweza kuwa na huruma ikafika mahala akamfungua mtu Au kugairi kumuua au kumdhuru lakini Mchawi mwanamke hana huruma ni mazima [emoji108]
Hata jambazi Au mwizi akiwa mwanamke huwa ni katili mara millions kuliko jambazi /mwizi Mwanaume
Kwanini wanawake waovu ni makatili mno ?
 
Sio kweli mkuu
 
Nadhani lengo ni kutaka missile watakayoirusha isiende kuua wasio na hatia.
Inajua kuangamiza ila haijui kutofautisha🤣
 
Aseeh...pole Sana kaka
Jeep rubicon nashauri nenda kaseme hayo maneno kijijini kwenu humu jf honestly hakuna mwenye ubaya na wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Aah Acha kutusumbua wachawi bwana,mtu mwenye kujenga hekalu na kuweza kitulipa mln 25 wachawi hawezi kuvaa gauni la kama Hilo....🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo ni matumizi mabaya ya mikoba
I just like you.😂
 
Menorrhagia sio uchawi wala ushirikina au kulogwa

Upande wa hedhi Haya mambo yapo mengi tu kwa wadada ila sio uchawi wala kulogwa. Ni mambo yanachangiwa na vitu kama stress, hormonr imbalance, mambo ya thyroid hormone nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…