Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Hamna uchawi bwana we mbwembwe tu zile binafsi siamini kwenyr uchawi kabisa ..naamani kwenye nature tu wasituchoshe wanga
 
Utarogwa na kufirw@ juu dogo kuwa na heshima na taaluma za watu.
Umepata vijisenti unajiona wewe ndio wewe.
 
Maneno mengiii niloge basi hamna lolote janja janja tu
 
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Majina yako matatu
Majina ya Mama yako matatu

Kabizi mezani hivyo vitendea kazi nenda kaendelee na shughuli zako uletewe vibwengo, na pia ungependa utoe hio 25M ukiwa kiwete ICU au ukiwa kaburini ushakua maiti ?
 
Jamani mpaka sasa hivi mtoa mada hajarogwa! Wachawi mbona mnaniangusha Ml 25 hamzitakiiiii [emoji1787]
Eti bila majina matatu hawawezi kuniloga.
Wengine wanadai sina vigezo vya kuvutia wachawi waniloge🀣
Mmoja tu ndo kasema anaweza kuniloga bila majina yangu.
Niko hapa namsubiri.
Msiponioma kesho nzima kwa huu uzi mjue washapita na mim usikuπŸ˜‚
 
Majina yako matatu
Majina ya Mama yako matatu

Kabizi mezani hivyo vitendea kazi nenda kaendelee na shughuli zako uletewe vibwengo, na pia ungependa utoe hio 25M ukiwa kiwete ICU au ukiwa kaburini ushakua maiti ?
bullshit
 
Uchawi hauna nguvu mm nakuja na bastola nimeweka kichwani kwako halafu fanya uchawi ikukose πŸ˜‚πŸ˜‚
Hujawahi kupigwa ukapigika hujawahi kuteseka siku ukinyonywa damu ingali bado upo hai ndio utaelewa, tren linagonga Gari ndani kuna baba mama na mtoto mdogo, baba Mama wanakufa papo hapo Ila mtoto anatoka mzima bila hata jeraha moja Wala kuvunjika pahala, niulize Mara 3
 
Anipige nani mnarogwa nyinyi mliekuwa na iman haba hakuna uchawi mbele ya Yakobo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…