Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
-
- #421
Wajinga wakubwa nyie.Wewe ndio umeanzisha mada huyo ni just in case ikitokea atakusimulia wewe ambae una 25M achia majina matatu upewe unachotaka
Anasikia tu hadithi ila anajifanya keshafika ginimbi,🤣we mwenyewe najua hayaja kukuta
Hakuna sehemu nimesema kazi hii itafanywa na Mimi, kwa hio usiseme Mimi ndio mchawi hapo naomba uniombe radhi kidogo ila watendaji wa kazi nawajua na humu wapokuwa wewe ni mchawi idara ya viungo 😂😂
😂😂😂Kwa picha sio wewe,uko wapi nipe PICHU yako live ufe faster,huku kuzimu kafara inahitajika,ikikupendeza njoo PM wakusahau jf. Nikutoe sadaka kama mbadala wangu.
Mrejesho nitatoa mimi mwenyewe jf. Toa wosia kabisa nani atarithi madeni yako,mke,michepuko na kodi ya nyumba.
🤣🤣🤣🤣kuwa wewe ni mchawi idara ya viungo 😂😂
Mkuu usidharau Sana upo uchawi Hadi simoni kwenye bibilia nae alikuwa anafanya uchawi snaaHello Africans.
Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.
Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.
Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).
Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.
Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.
Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.
Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.
Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"
Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.
Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.
Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao[emoji23]
Haya kazi kwenu.
NILOGENI
UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Mm niko mbali sana ila jamaa ningempeleka sehemu akafunzwe tu kidogo ajue mauza uza yapo mwezi wa sita naelekea somewhere jamaa akipata wasaa atume number zake pm nitamtafuta atagharamika vifaa tiba, gharama za usafiri na atamlipa mfanyaji basi na hiyo 25 milioni akasaidie yatima.watu wanapigwa na maisha wanasingizia uchwai [emoji23]
Hata yakinikuta au yamenikuta nikikwambia haitokusaidia kitu mkuu, witchcraft is real no kidding sio Jambo la kufanyia mzaha na dhihaka hata kidogo,we mwenyewe najua hayaja kukuta
Mkuu mjibu mtaalam acha ujeuri😂kuwa wewe ni mchawi idara ya viungo 😂😂
Jeep rubicon ni pis kali pis ya kwenda kabisa under 40 years.Mkuu usidharau Sana upo uchawi Hadi simoni kwenye bibilia nae alikuwa anafanya uchawi snaa
Kaak kwa kutuliaa mzeee
Mkuu now days unavaa sketi?????? Au ndio usharogwa tayari???Hello Africans.
Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.
Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.
Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).
Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.
Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.
Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.
Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.
Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"
Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.
Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.
Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂
Haya kazi kwenu.
NILOGENI
UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
sasa huo sio ustarabu msenge mkubwaHakuna sehemu nimesema kazi hii itafanywa na Mimi, kwa hio usiseme Mimi ndio mchawi hapo naomba uniombe radhi kidogo ila watendaji wa kazi nawajua na humu wapo
Iblis Bin Shetan kanipa majina matatu ya kwake na ya mama yake
Jina lake: ALBERT JAMES MAZIGAWA
Jina la Mama yake: ANNA PETER KIMARO
Kwa hio wazee wa Nyanga changamkeni mtoe funzo kwa kijana huyo hapo nimewawekea
nasubiri jibu lake😂NIkisema ww una matatizo ya akili unagonjwa wa schizophrenia yaan totally hallucination na dilusion nakosea 🤣🤣
Wewe ni MTOTOMkuu mjibu mtaalam acha ujeuri😂
watu ni wajinga yani wana shindwa kuthibitisha imani yao wanayo amini. utasikia kuwa eti waliona mtu kadondoka na ungo na sio kumuona mtu kapaa na ungo, mara sijui fisi ana irizi anafugwa kwani fisi kufugwa ndo uchawi.Anasikia tu hadithi ila anajifanya keshafika ginimbi,🤣
Huo ndio uchawi wenyewe sasa, au ulikua haujui uchawi ni Nini ?sasa huo sio ustarabu msenge mkubwa
Hivi kuanzia sasa na kuendelea Mimi na wewe Nani atakua ana ugua ugonjwa wa akili ?NIkisema ww una matatizo ya akili unagonjwa wa schizophrenia yaan totally hallucination na dilusion nakosea 🤣🤣
Ugonjwa unaanzia hapa soon tutakutafuta kwenye madampo ya karibusasa huo sio ustarabu msenge mkubwa
huyo saimon una uhakika gani kama alikuepoMkuu usidharau Sana upo uchawi Hadi simoni kwenye bibilia nae alikuwa anafanya uchawi snaa
Kaak kwa kutuliaa mzeee
Nimetumia hiyo kama catalyst apandwe mori aniloge but in vainkwa kumtusi kote lakini hana lolote la kukufanya
Akili huna ww umesema nikupe majina yangu matatu na mama kwanini uyatume humu mm siogopi hakuna binadamu anaenda chooni kunya kuweza kuniroga hayupo kama ulikuwa huwezi usingeanika hadharani kima mmoj undhani kuroga matako yako kila mtu anayo 🤣 🤣Huo ndio uchawi wenyewe sasa, au ulikua haujui uchawi ni Nini ?