Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Nimemkumbuka Mzee Baba alishangaa vi eite lake nyuu model jipyaaaaa linatoa moshi milangon km mtu ambaye anachoma majan mabichiiiii.


Akaanza kuuliza "mmeamua kuniletea moshi" fasta washkaj zake wakamchukua na kukimbia nae.


Hv wadau

Yule mwamba alimaliza mwezi tangu ule moshi umtokee???
 
Yaani wewe ni mjinga sana.
Kwanin umefanya hivi?
Ndo mana nilikua sitak kuwapa majina yangu sbb najua nyie hamna akili nzuri.
Umekosea sana
 
mpuuzi wewe sitoi majina kama huwezi kuyajua basi endelea kuwa mbashiri
💩💩💩☻️☻️☻️🤣🤣🤣😂😂😂🤪🤪😜😜😜uandishi wako tuu unafanana akili na hivi vijamaa...punguza munkali dogo JF ni mjini
 
Haya maudhui yaliyoandikwa katika uzi huu, HAYANA HAIBA na picha iliyowekwa ni maudhui ya KIUME kwa asilimia 100%
 
💩💩💩☻️☻️☻️🤣🤣🤣😂😂😂🤪🤪😜😜😜uandishi wako tuu unafanana akili na hivi vijamaa...punguza munkali dogo JF ni mjini
usi panic mchwai uchwala huna uwezo wa kuni roga wewe na ukoo wenu wote.kafanyeni mazingaombwe mpate vi miambili miambili.😎
 
usi panic mchwai uchwala huna uwezo wa kuni roga wewe na ukoo wenu wote.kafanyeni mazingaombwe mpate vi miambili miambili.😎
🤣🤣🤣🤣nimegundua huna unachojua mkuu wewe mweupe tu.
Utakuwa mpagani bila shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…