Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Weka jina lako hapa,anuani yako unapoishi,yaani mtaa. Weka picha yako hapa.
 
Yaani sio mzaha hizi imani zinatudumaza sana mkuu.
Watu kibao washakufa kwa kupelekwa kwa waganga badala ya hospital.

Kwa mfano bundi waafrika wanamuhusisha na uchawi ila kwa vile bundi akilia katibu ya nyumba yenye mgonjwa huyo mgonjwa lazima afe.
Wazungu kwa vile wana akili wakajiuliza why bundi akilia mgonjwa anakufa,wakapata jibu kuwa bundi anasense harufu ya mzoga hata ukiwa ndio unaanza kuoza.So mgonjwa akiwa mahututi cell zinakufa akiwa bado hai ila bundi ana anasikia harufu ya yule mtu kama ya mzoga na anakua anaruka ruka karibu ya nyumba yenye huyo mtu na kawaida huyo mtu atakufa baada ya siku chache.
Waafrika sisi kwa upoyoyo wetu tukajiambia eti anakua bundi katumwa na wachawi.
Yaani hatutaki kujichosha akili.
Sisi ni ngono na uchawi ndo vitu vimejaa kwenye mabichwa yetu
 
Kald katoto kangu kalikoua nyoka bado nakapenda sana.

please dont endanger your life like this

we still need to raise our kids together😜😜
We will jirani😂
Nothing will happen to me🤣
 
Yaani wewe ni mjinga sana.
Kwanin umefanya hivi?
Ndo mana nilikua sitak kuwapa majina yangu sbb najua nyie hamna akili nzuri.
Umekosea sana
Wewe umesema na kuhoji usichokijua hivi unajua uchawi ni Nini ? Au umeandika kufurahisha umati wa JF ilihali haujui unachokiongelea, nilichokifanya ni sehemu ndogo tu ya kukuchachafya na kumchachafya mtu yeyoto anaependa cheap popularity kwa vitu ambavyo havijui, na wewe ningekuanika ndio ujue uchawi ni Nini

Siku hizi wachawi sio wazee utarogwa uanikwe humu aanikwe na mama yako alafu mpikwe
 
na uhakika asilimia mia hakuna mtu humu jf amemuona mtu ana paa na ungo 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…