Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Huwezi kupiga ramli ukaviona mwenyewe? [emoji23]
Acha mbambamba watu tunazitaka hizo 25m
Nipo hapa na mjukuu wa adui chongo Zenji anasubiria data lete jina yako na la bi mdashi wako. Ila kama unajiamini wewe ni mtoto wa baba ako kweli hata la mdingi litafaa.
Majini wanatembelea ramani ya nasaba
 
Mtu akishakuomba jina huyo si mchawi.

Huyo ni data processor tu.
Kabisa.
Halafu kuna mtu alimpa mtu jina PM likaja kuwekwa huku public bila ridhaa yake kwa hiyo unaweza kuona akili na hekima.za watu wa aina hii
 
Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.

Kwani uchawi wako hauwezi kupata jina la mtu kwa kuangaliamuandiko wake hapa?
Haya tuma inbox sasa.
😅😅😅muandiko upi sasa maana wote tuko na keyboard.
Tatizo ni kubwa sana wakoo,kwa fikra hizi bado sanaa sanaa
 
Sasa wewe kama.mchawi unashindwaje kumjua huyu mtu. hadi uambiwe jina.
Kila kitu huendeshwa kwa utaratibu,si unataka kulogwa fuata utaratibu. Maana yeye ndo keshasema hakuna wa kumtengeneza basi aandike jina hapo
 
Haya tuma inbox sasa.
😅😅😅muandiko upi sasa maana wote tuko na keyboard.
Tatizo ni kubwa sana wakoo,kwa fikra hizi bado sanaa sanaa
Kwani nikikutumia inbox wewe huwezi kuwa ndiye jambazi mwenyewe?

Ukisikia muandiko wewe unaelewa nini? Unaelewa digital forensic ni nini? Unaelewa Unabomber alikamatwaje?

Kama watu wanaweza kutumia sayansi tu kumjua mtu kwa anachoandika kama ilivyokuwa kwa Theodore Kaczynski, nyie mnaosema mna uchawi mnashindwa vipi kumjua Kiranga ni nani kwa kuangalia anachoandika?

Unamjua Theodore Kaczynski? Unajua alikamatwaje?

Hapo fikra za nani ndiyo bado?
 
Usilete historia,huwezi pimiwa mchele kituo cha mafuta.
Kasema halogeki, ndo maana wakuu wa kazi wakamuomba hizo kitu tatizo like wapi mbona ni kama mnataka kututoa kwenye reli ya mada.
 
Usilete historia,huwepi pimiwa mchele kituo cha mafuta.
Kasema halogeki, ndo maana wakuu wa kazi wakamuomba hizo kitu tatizo like wapi mbona ni kama mnataka kututoa kwenye reli ya mada.
Habari za kulogana ni ujinga tu.

Na ujinga huu unaanza kuthibitika mnapoanza kuomba majina, mnathibitisha uchawi wenu hauwezi kujua watu majina.

Mngekuwa na uchawi kweli, mngenuiza tu kwenye uchawi mpewe jina la Kiranga, lingekuja kamili mpaka fingerprint mngepata.
 
shuleni walisomea ujinga
 

Naomba jina la baba yako na mama pm na advance nikakushuhulikie
 
Sasa kama huamini uchawi kwamba upo na unatenda hiyo imani ya kunuiza na kitu kikaja wewe umeitoa wapi.
Kwa herini maana nishawaambia mnaopinga wote ninyi kwenye masuala ya ufahamu wa mambo ni weupe tuu
 
Sasa kama huamini uchawi kwamba upo na unatenda hiyo imani ya kunuiza na kitu kikaja wewe umeitoa wapi.
Kwa herini maana nishawaambia mnaopinga wote ninyi kwenye masuala ya ufahamu wa mambo ni weupe tuu
Neno Kunuiza ni sawa na neno dragon.
Vipo lakini havipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…