ushaona DP world ni waarabu ndio maana unaleta uzi! mbona wakati wa awamu ya 5 hukusema haya! we mama mnafiki sanaKuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali...
Maelezo yako hayatoshi hii ni essay ya paragraph zaidi ya 15 ndani ya page zisizopungua 10 umeandika mistari mitatu, ongeza nyamaLATRA kuna WASOMI wabobezi wa usafirishaji na uchumi, wakishirikiana na NIT, tatizo wanasiasa wanaingilia utendaji, nadhani hizi kampuni ziwekwe DSE.. na wale wataalam wa FINANCE watoe njia Bora yakuwakaba WEZI wa miundombinu.View attachment 2947486
ndio bibi faiza anataka iwe hivyoBandari kashachukua tayari sasa tumpe Reli na Ndege zetu atuendeshee Sisi walemavu wa akili?
Wakati wa awamu ya tano nani alikuwa anasema zaidi ya msiba?
Tangaza tender basi tukupe maljibu mazur ..usitake cheap Kwa gharama zanguMaelezo yako hayatoshi hii ni essay ya paragraph zaidi ya 15 ndani ya page zisizopungua 10 umeandika mistari mitatu, ongeza nyama
Kwa hio tuwape Wajomba watuendeshee Sisi hatuwezi kujisimamia akili zetu hazina akilindio bibi faiza anataka iwe hivyo
Ongeza nyama pale juu wachumi wasomi bla bla bla jaza finyango hizo usitulambishe lambishe, wasomi wachumi tunafeli vipi sasa?Tangaza tender basi tukupe maljibu mazur ..usitake cheap Kwa gharama zangu