ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.

Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?

Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.

ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.

Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.

Hivi lini tutapata akili?
Inabidi tuwape masheikh maana wameweza kusimamia dini ya Allah, hiyo miradi haitawashinda.
 
Wakati wa awamu ya tano nani alikuwa anasema zaidi ya msiba?
Ww ndio ulikaa kimya maana ulikuwa unajulikana na lile genge la dhalimu magu. Sisi huku jf tulikuwa tunapiga vibaya, Hadi dhalimu akatamani malaika washuke kuja kufunga mitandao.
 
Mtanzania sahv anachoweza ni kukata mauno mizikimiziki, usinbauyanga,umbea na udaku

Ova
 
Shida kila anaeshika anataka apige na asipopiga unaonekana Mjinga ubaya zaidi ni pale anapotokea boya mmoja anaetaka apige mara 5 zaidi ya aliemtangulia
Shida yetu iko hapo chief,,, lkn sio kwamba watanzania hawana uwezo wa kuendesha hii miradi.

Chakufanya ni kitu kimoja tu,, ripoti ya cag ifanyiwe kazi, na matokeo ya kuwaadhibu wabadhirifu yaonekane,,, hakika baada ya hapo akili zitakaa sawa na matokeo chanya tutayaona
 
Chakufanya ni kitu kimoja tu,, ripoti ya cag ifanyiwe kazi, na matokeo ya kuwaadhibu wabadhirifu yaonekane,,, hakika baada ya hapo akili zitakaa sawa na matokeo chanya tutayaona
Wamekwishakwambia Rais hana mamlaka ya kikatiba kuwafunga wanaozila hizo Pesa na yeye analijua hilo unataka nani awawajibishe?
 
Wamekwishakwambia Rais hana mamlaka ya kikatiba kuwafunga wanaozila hizo Pesa na yeye analijua hilo unataka nani awawajibishe?
Kama kikwazo ni katiba basi tuifanyie ukarabati ili ikidhi mahitaji yetu ya sasa,,, kuna haja gani sasa ya kushindwa kuwajibishana kisa ni katiba?

Tufanye maamuzi magumu kama kweli tuna nia njema na nchi yetu
 
Waambie serikali mashirika yapate watendaji, bodi na menejiment zake kupitia usaili wa wazi, watu waombe hizo kazi na wapimwe kwa vigezo vinavyopimika..hizi sio zama za kuteua mtu kumpa fursa ajikimu! Hicho ulichosema wewe ni limbukeni ndio anafikiri ujinga wa aina hiyo wa kuwapa watu Mali yako wakutengenezee wewe umekunja nne barazani..zama hizo zilishapita kitambo.
Full stop,na Sio kuteuana kiccm,ki ndugu
 
Tuendeshe tu wenyewe, watakao shindwa kitanzi tu kama china... ushikaji udini ndio unaleta shida kwenye kuendesha mashirika... na wezi ndio hawa wanaitwa waheshimiwa.. kwanini wezi wanaonewa aibu Tanzania bara maana Nasikia Tanzania Visiwani Mwinyi hana masikhara utoke mwenyewe au akutoa au omba upishe watu wasongeshe nchi..
 
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.

Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?

Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.

ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.

Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.

Hivi lini tutapata akili?
Mbona haya mashirika watapewa waarabu mara baada ya ''uchaguzi'' wa 2025? Unasema kitu ambacho kimeshapangwa?
 
Inabidi tuwape masheikh maana wameweza kusimamia dini ya Allah, hiyo miradi haitawashinda.
Kuna sheria na taratibu za zabuni, wakishinda tatizo nini?
 
Ww ndio ulikaa kimya maana ulikuwa unajulikana na lile genge la dhalimu magu. Sisi huku jf tulikuwa tunapiga vibaya, Hadi dhalimu akatamani malaika washuke kuja kufunga mitandao.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Kitendo tu cha kuchukuwa bandari kinaonyesha sisi ni zaidi ya walemavu wa akili.
Tungekuwa na akili tungechimba wenyeqe na kuuza dhahabu yetu. Iliyokwisha ibiwa ina thamani zaidi ya bandari kumi za Tanzania.
 
Back
Top Bottom