Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Hivi, kinachofanya 1+1 iwe 2 ni kwasababu wengi wanakubali kuwa ni mbili ama ni kwasababu ni 2 hata ikiwa wengi watakataa kuwa si 2?.
 
Sasa huo si ujinga. Mbona hapa hakuna logic. Yaani unamwambia Mungu akuambie ujikate paja? Ili iweje sasa? Hayo mabangi yenu nayo sometimes ni shida.
Sio mabangi bana huwezi kusema unaongea na Mungu wakati unajibzana na akili yako...hivi hivi ndo story zinnatungwa vitabu vinaandikwa na wajinga mnaamini.
Sasa huo si ujinga. Mbona hapa hakuna logic. Yaani unamwambia Mungu akuambie ujikate paja? Ili iweje sasa? Hayo mabangi yenu nayo sometimes ni shida.
Wanakuambia Mungu kanitokea Mimi na sio wewe na akikutokea wewe anakuambia unachotaka. Mungu ni mmoja lakini anamwambia kila mtu vitu tofauti na anachagua wa kutokea. Hebu acheni bana sisi sio watoto
 
Ni fact

Wewe hapa huongelei facts, ndio maana kwenye maelezo yako umesema ni muujiza.
Definitely ni fact, najua!! So, why tukio langu/ letu liamliwe na idadi ya watu ikiwa ni kweli ama ni uwongo?.

Nb:-hukujisumbua kuuliza nimesema ni muuajiza katika frame hipi.
Kuna mchezaji wa ajentina alisema "kushinda kombe la dunia ilikuwa ni muuajiza".
Je, hiyo kauli ina lina-nullify fact Kuwa Ajentina ilishinda kwa wachezaji kupiga penalties.
So, popote unapoona neno miujiza limetumika si lazima iwe kama insu ya Mussa kupasua bahari kwa fimbo.
 
Kama ni fact inatakiwa iwe universal kila mmoja ajue, wataalamu wa anga watujuze.

Njoo na sababu kwanini tuwapuuze mamilioni ya watu pamoja na teknolojia ya anga halafu tukuamini wewe na wenzako watano?
 
Kama ni fact inatakiwa iwe universal kila mmoja ajue, wataalamu wa anga watujuze.

Njoo na sababu kwanini tuwapuuze mamilioni ya watu pamoja na teknolojia ya anga halafu tukuamini wewe na wenzako watano?
wewe ni SCAR, NON JF USERS hawakujui je, hiyo ni fact Kuwa existence yako mystery?.
Dhana ya kuwa kila fact ni lazima kila mtu aijue umeitoa wapi? Na kwanini iwe hivyo na si kinyume chake?
 
Na kama kile kitabu cha waarabu kilitokea Kwa mungu Kwa hyo tuseme mungu alikua anatengeneza makalatasi huko juu
 
wewe ni SCAR, NON JF USERS hawakujui je, hiyo ni fact Kuwa existence yako mystery?.
Dhana ya kuwa kila fact ni lazima kila mtu aijue umeitoa wapi? Na kwanini iwe hivyo na si kinyume chake?
Kwanza unatakiwa ujue nje na ndani ya JF mi sio SCAR

Pili unatafuta equivalent ya stori mbili ambazo hazifanani.

Fact ni uhalisia unaopimika na kuthibitishwa eidha kwa vipimo au logic.

Katika vigezo hivyo hakuna namna yeyote unayoweza kuelezea tukio la watu sita kushuhudia watu wakitembea kwenye mwezi.

Wakati vipo vipimo ambavyo muda wote viko stand by ku observe kila tukio linalofanyika mwezini.

Pili mjengengo wa stori yako umekaa mythical yani namna ulivyouelezea mwezi ni tofauti kabisa na sifa zake ambazo zinajulikana.

Nadhani ndio sababu ukaamua kusema miraculous ulijua lack of better explanations wouldn't make you story to be taken seriously.
 
Hata mimi sijasema nje ya Jf Unaitwa Scar .
Tufanye nje ya Jf unaitwe Mwakaleli ama Scar ilo ilo, ila bado hiyo haiondoi swali langu nililo kuuliza.
Turudi kwenye swali langu:- kwanini TUKIO langu liamliwe na idadi ya watu na si kitu kingine?.
Kwamba, leo fact inapimwa kwa wingi wa watu?.

Nb:- kumbuka hadi sasa wewe ndiye umeamua kulichagulia UPANDE WA KU-SIDE (MYTHICAL)SIMULIZI LANGU na si mimi MSIMULIAJI.
So, andika chochote unachokijua ila tambua kuwa sasa wewe ndiye author wa nilichokisimua.
Maana mimi nilisema hii dunia iko beyond na masimulizi ya believers na atheists ila umeamua kuli-side andishi langu katika upande wa mythical na sababu ya kufanya hivyo unaijua wewe.
Labda uniambie ni kwanini hukuliegeza katika upande wa atheism na badala yake ukachagua upande wa pili wake?.
 
nakuelewa sana mkuu sema basi tu sijui why jamaa anakuwa mgumu hivyo
 
Sijasema fact inaamuliwa kwa wingi wa watu.

Hujaona hapo nimekutajia hadi vigezo vya kupima fact?

Hujaona nimetaja observation ya vipimo na logic?

Hujajua point ya mimi kusema mamilioni ya watu imetokana na wewe kukomalia kuwa stori yako ni ya kweli kwasababu haukuwa peke yako mlikuwa 6?

Mimi nimeiita mythical kwasababu ni stori ya kufikirika isiyofungamana na sifa za mwezi ambazo tunazijua.

Hata kama hujasema stori yako sio mythical ila ukiisimulia sifa ambazo hazipo kwenye kitu ambacho kinafahamika (zina contradict sifa halisi), sisi tutasema tu ni mythical au imaginary stories hata kama wewe hukutaja hayo maneno
 
nakuelewa sana mkuu sema basi tu sijui why jamaa anakuwa mgumu hivyo
Katika wale 6 aliosema na we ni mmoja wao?

Kwenye ulimwengu wa watu bilion 7 na ushenzi ni watu 6 tu ambao mna taarifa za tukio la kustaajabisha kama hilo kuhusu mwezi?
 
Katika wale 6 aliosema na we ni mmoja wao?

Kwenye ulimwengu wa watu bilion 7 na ushenzi ni watu 6 tu ambao mna taarifa za tukio la kustaajabisha kama hilo kuhusu mwezi?
hapana wala hata simjui sema nimefatilia mwanzo hadi mwisho wa majadiliano yenu.


Kwa jinsi nilivyomuelewa jamaa anajaribu kujenga hoja apart from atheist n believers faiths kuna nguvu za kimiujiza that work miraculuous zilizomo ndani na nahisi nje ya ulimwengu wetu.

Hiyo ndio hoja ya let the caged bird sings anayojaribu kueleza hapa kwa jinsi nilivyomuelewa
 
Nguvu za kimiujiza ni wrong interpretation ya vitu.

Kitu ambacho hujui mechanism yake imekuwaje mpaka iwe hivyo, ndio hapo utajikuta umekiita muujiza.

Ngoja nikupe short story

Kipindi ambacho niko shuleni nilibahatika kuishi hostel na room ambayo nilikua nalala nilikua nashea kitanda na mtoto wa mchungaji

Siku moja usiku tukiwa tumelala likapita tetemeko, lilitikisa kwa muda mrefu kidogo, wanafunzi wengi tulitoka nje kuhofia kubomokewa na nyumba.

Lakini kwa bahati mbaya rafiki yetu mlokole hakupata bahati ya kutoka. Kesho yake asubuhi akawa anatusimulia kua usiku alitembelewa na wachawi ambao walikua wanatikisa kitanda huku na huku kila kona ya kitanda.

Jamaa akaenda mbali kabisa kusema kua roho mtakatifu alimuingia na akajikuta amesimama na kuanza kufanya maombi yaliyochukua muda kidogo mpaka pale wachawi walipoishiwa nguvu na kukimbia.

Tukamuambia kua hawakua wachawi ilikua ni tetemeko, akabisha ikibidi aende kumuuliza mlokole mwenzie naye akasema ni kweli ilikua ni tetemeko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…