Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Wanaoamini Mungu mmoja, Nyani, Mizimu na wasiyoamini Mungu awe Mungu mmoja, Nyani, Mizimu au mbwa wote wana nafasi katika dunia hii. Kwahiyo hizo imani zako za kutoamini uwepo wa Mungu baki nazo mwemyewe maana hata hao wanaoamini ng’ombe ni Mungu hawapigi promo imani zao kwa namna yoyote. Zitabaki imani tu na zote ziheshimiwe.Kama watu wanaamini katika Mungu, awe mmoja au wawe wengi , awe Yesu au ng’ombe..ni sawa tu kwa imani zao lakini wasitulazimishe na sisi kuamini kuwa huyo Mungu yupo na aliumba huu ulimwengu.
Hoja yangu ipo kwa imani zote zinazoamini kuhusu uwepo wa creator god
Proof?
Ah wapi..... Hapo Kwa mm hunipati. Hata kama ungekuwa mwezin kipindi hiko uwezekeno wa kutuona sisi huku duniani usingekuwepoTumuite Mungu, japo nikiulizwa kwanini awe ni Mungu na si kitu kingine tu nisichokijua, nitakuwa sina jibu.
Hii dunia ni full mysterious, actually hakuna anajua chanzo cha ulimwengu na uhai but kuna Imani ina make logic sense ukisikiliza, sihitaji kuelezea isije semwa ninaihubiri.
Kuna nguvu inaendesha hii dunia na haijali hisia zetu,it acts accordingly na haitafuti waumini wa kuiamini.
Sikumbuki mwaka, coz ni kitambo niliwai ona watu wakitembea kwenye mbalamwezi wakati nimetoka nje kukojoa.
Nilihisi ni wenge BCBG, Nikarudi ndani kumuambia Mama kuwa kuna kitu cha ajabu nje, watu wanatembea kwenye mwezi.. Ilimchukua sekunde kadhaa kuhisi kuwa uenda kuna kitu si cha kawaida nimekiona nje ndiyo maana ninamuamsha ili akakione. akaamuka na Dada zangu wakaamka kwenda kushuhudia nilichokuwa nina kisema!!.
Ni yale majira ya mwezi Unatokeza fully, umbo lote unaliona.. Ni kama vile sinema watu wanatembea kwenye mwezi.
Niliowaita kuona ilo tukio waliogopa sana!! dada yangu ninaemfuta mara 3 akasema " twende kwa mzee wa kanisa, uenda leo ni siku ya mwisho".
Baada ya hapo ile sinema ikakata mwezi ukarudi katika hali yake.
Hadi leo wengine wamezeeka, nikijalibu kuwa kumbushia hiyo ilo tukio kila mmoja ana maoni yake.
Hivi juzi nimekuja kujua kuhusu mradi wa blue beam, uenda tulichokishuhudia ni blue beam ama ni tukio la miujiza tu kama miujiza mingine.. But definitely nimewai ona watu wakitembea kwenye mwezi. mwezi huu huu UnAujua, nimeona bila vifaa vya kitaalamu.
Ulimwengu ni zaidi ya unavyoelezwa na atheists ama believers.
Huyu alirogwa tu.. sio bureMwezi hauko chumbani kwako,Kitu chochote kwenye mwezi kingeonekana dunia nzima.
Wewe kuona na dada zako mauzauza sio uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu.
Kuna kipindi watu wa Mwanza waliona usiku kuna mwanga mkali angani unatembea ukizunguka anga.. wakasema ni yesu anarudi lakini kumbe zilikuwa zile taa za club ya Villa park.
Prove it?God exists.
Yes, I can show you pictures,videos and if you are desperate enough to pay for a plane ticket, I can take you thereCan you prove the existance of pyramids in Egypt
They exist, but Im not sure who constructed them or how, just as I am pretty sure my great great great great great grandfather existed but I don’t know who he was or where he lived.if yes then who do you think constructed them and how??
Simchezo ujue! Kumuona mtu mwezini ni sawa na au zaidi kabisa ya kuona sisimizi chini ukiwa kwenye ndegeAh wapi..... Hapo Kwa mm hunipati. Hata kama ungekuwa mwezin kipindi hiko uwezekeno wa kutuona sisi huku duniani usingekuwepo
Yes, I can show you pictures,videos and if you are desperate enough to pay for a plane ticket, I can take you there
They exist, but Im not sure who constructed them or how, just as I am pretty sure my great great great great great grandfather existed but I don’t know who he was or where he lived.
But if you tie my hands at gunpoint I’d say I beleive they were created by ancient civilizations using a lost ancient technology (because technology can be lost through time)
Why? Because it is a theory with the least assumptions.
But I can’t say I’m sure of that either as I have no evidence and I could be wrong.
Kaka somo la ku "Read between lines" huwa nimelifaulu kwahyo usihofu Chief...Duh mkuu umemuamini jamaa😳
Acha uswahili una uhakika gani kuwa sifa tulizofundishwa shuleni kuhusu mwezi ndo hzo pekee? Ndiyo maana tafiti hufanywa kila siku,, usimbeze jamaa ijapokuwa hatuna uhakika na story take ww ni binadamu kama mimi na hujui chochote kuhusu ulimwenguNguvu za kimiujiza ni wrong interpretation ya vitu.
Kitu ambacho hujui mechanism yake imekuwaje mpaka iwe hivyo, ndio hapo utajikuta umekiita muujiza.
Ngoja nikupe short story
Kipindi ambacho niko shuleni nilibahatika kuishi hostel na room ambayo nilikua nalala nilikua nashea kitanda na mtoto wa mchungaji
Siku moja usiku tukiwa tumelala likapita tetemeko, lilitikisa kwa muda mrefu kidogo, wanafunzi wengi tulitoka nje kuhofia kubomokewa na nyumba.
Lakini kwa bahati mbaya rafiki yetu mlokole hakupata bahati ya kutoka. Kesho yake asubuhi akawa anatusimulia kua usiku alitembelewa na wachawi ambao walikua wanatikisa kitanda huku na huku kila kona ya kitanda.
Jamaa akaenda mbali kabisa kusema kua roho mtakatifu alimuingia na akajikuta amesimama na kuanza kufanya maombi yaliyochukua muda kidogo mpaka pale wachawi walipoishiwa nguvu na kukimbia.
Tukamuambia kua hawakua wachawi ilikua ni tetemeko, akabisha ikibidi aende kumuuliza mlokole mwenzie naye akasema ni kweli ilikua ni tetemeko.
Wewe mwenyewe na ukoo wenu mnathibitisha kuwa Mungu yupo, kwasababu ninyi ni kazi yake,Binafsi naona ilipasa kuwepo na tokeo la Mungu kwa nyakati zetu hizi tunaweza kusema modern world.
Kwa sababu nyakati hizi ndio upeo wa maarifa ya mwanadamu umekua mkubwa kwamba hapokei kitu bila ya kudhihirisha.
Tunapo soma vitabu hivi vya dini haswa hizi tunazo ziita abrahamic religion natumaini hakuna hata mmoja kati ya wale walioandikwa kule waliwahi kumuona Mungu isipokuwa ni kwa ishara za hapa na pale ambapo wangeambiwa waweke ushahidi kwamba wamemuona Mungu na wamezungumza nae wasingeweza.
Waliamini hivyo kwamba Mungu amezungumza na fulani kwenye ndoto au kwenye moto unao waka kichakani kwa sababu ya upeo wao kwa wakati huo.
Kwa ukubwa wa Mungu alio nao asingepaswa recognition au Identity yake ipatikane kwenye imani tuu!
Yeye ndie yupo juu ya maarifa yote, yupo juu ya ujuzi na elimu yote, sasa kujulikana na kuwepo kwake kuwe kwa kiimani zaidi hai make sense .
Badala yake usio ukweli unaenezwa sana kwa kivuli cha imani.
Propaganda nyingi sana kwa kivuli cha imani.
Uzushi na utapeli ni mwingi sana kwa kivuli cha imani.
Imepelekea ukweli kukaa mbali sana , na wanaojaribu kuhoji na kutafuta walao udhibitisho wa uwepo wake wanakemewa na kukaripiwa sana na hata kutengwa na jamii.
Ifike wakati atokee mtu kama musa aseme na Mungu kwamba watu wake wa leo hii tunahitaji kumuona kwa macho ya nyama.
Hakuna imani ya kutoamini kituWanaoamini Mungu mmoja, Nyani, Mizimu na wasiyoamini Mungu awe Mungu mmoja, Nyani, Mizimu au mbwa wote wana nafasi katika dunia hii. Kwahiyo hizo imani zako za kutoamini uwepo wa Mungu baki nazo mwemyewe maana hata hao wanaoamini ng’ombe ni Mungu hawapigi promo imani zao kwa namna yoyote. Zitabaki imani tu na zote ziheshimiwe.
I am truthful by saying I don’t know. I won’t lie to you by pretending I know. Plus I want to discuss on things I know of and not things I beleive.Any way, you need to be truthful, consistent and sure in this case as to who do you think constructed the pyramids so that we can go on otherwise we are stuck right here.
The difference is you and I know that both sharks and camels exist.SHARKS DON'T KNOW THAT CAMELS EXIST.
Atheists are like sharks 🦈who don't know that camels exist, while indeed camels🐪 do exist.
Mimi kwanza siamini kwamba kila kitu kina chanzo na sababu nimeziweka wazi kwenye post juu…hyo assumption ya kila kitu kina chanzo haina ushahidi wowote maana hatuna data za kutosha.,sample tunayoitumia ni 1 tu,huu ulimwengu, lakini huenda hata kuna ulimwengu nyingi na hazina chanzo kama wanaoamini mungu wanavyosema hana chanzo.Shida yako naona ni Jina tu la Mungu ,ok basi tuseme huo ulimwengu ndio Mungu ,shida Iko wapi apo? Maana ktk andiko bado unaamini kua wenda ulimwengu ndio uliumba kila kitu sasa ww hilo Jina ulimwengu ni nan Aliupa? Kwann umeamini Jina ulimwengu ambalo pia umelisoma Kama ulivyosima Jina Mungu? Kuna tofauti gani apo kama ww unaamini ktk majina? Vip Kama ukiamua ww Mungu umuite ulimwengu ? Au umuite Power beyond everything,bado hakuna tatzo ,bado unaoneka unaamini kila kitu Katik ulimwengu una chanzo Hata Kama chanzo ndo ulimwengu Wenyewe bado ndio chanzo kwahyo hakuna shida hicho chanzo kua ndio Mungu au Jina Lolote utakalo Penda,Tatzo ww umemuweka Mungu ktk umbo na mtazamo wa kibinadamu ,Mungu yy Kama yupo sidhan Kama Ana shida na Jina hilo la Mungu ?unaweza amua kumpa Jina lako ,
Thibitisha kuwa yeye na ukoo wake ni kazi ya MunguWewe mwenyewe na ukoo wenu mnathibitisha kuwa Mungu yupo, kwasababu ninyi ni kazi yake,
Upepo upo kwasababu athari zake zinaonekana na zinapimika (windvane) na mtu yeyote anaweza akauhisi au akupima na kuutambua.Wewe unataka uthibitishiwe vipi???
Kwani nilzima umuone? Kama yeye hataki kuonwa nawewe kwanini umlazimishe? Fanya yako achana nayeye , ila wewe kutouona upepo haimaanishi kuwa upepo haupo kisa unataka uone na kuushika,
Hicho mlichoona ni hallucinations, Ureno watu 3000 waliona jua linacheza cheza.