Watu wanapita mule muleJinga kabisa huyu jamaa...
Na hii inaweza kuwa mtego wa mbunge ajaye uko...gekul wameingia kwenye 18
Kameza ndoanoKajiweka mwenyewe kwenye kikaango.
Huyu mama ansema huyo Emma ndiye aliyeanza kumtumia meseji za vitisho.Hapo kategeshwa tuu na huyo mama. Huyo mama kampigia simu mwenyewe with malice kwa lengo la ku aggravate tatizo kuimsliza familia nzima. Unaona jinsi alivyokuwa anamvutia pole pole huku aki mprovoke kitaalamu. Kwa vyovyote ndugu yako akiwa kwenye peril lazima uta provoke kirahisi
Na kweli boss kwa nchi masikini ni ngumu sanaIla TANZANIA nyko kiongozi hata akutwe na kashfa lakini kuachia nafasi yake haachi mpaka atunguliwe
Wenzetu mbele kiongozi akikutwa na kashfa mwenyewe Ana resign
Ova
. johnthebaptist yeye amekomaa na CHADEMA na Mbowe katikati ya uhalifu huu!Lucas mwashambwa anzisha thread kama 5 hivi za kumtetea kwa nguvu pauline gekul......ndio pakutokea hapa fursa hii mkuu
Kweli umeona mbali aisee,ngoja Lucas Mwashambwa aje na utetezi wa kujaza page tano.Lucas mwashambwa anzisha thread kama 5 hivi za kumtetea kwa nguvu pauline gekul......ndio pakutokea hapa fursa hii mkuu
Ngafu fijombombo ngafu....[emoji119]
Wote wale wale Lucas na John ni mawakala wa shetani mla watu.. johnthebaptist yeye amekomaa na CHADEMA na Mbowe katikati ya uhalifu huu!
Undugu unauma, hakuna mtu anayependa kusikia habari mbaya za ndugu yake baada ya kuharibu. Usiombe uzingirwe na Wana harakati na Wana habari baada ya kutenda kosa. Hizi habari ni nzuri ukiwa unazisikiliza zikiwa hazikuhusishi wewe Wala ndugu yako. Ni vyema mambo haya yashugulikiwe kwa mujibu wa sheria, hapo huyo mwanamke amezalisha kosa kwa kumtegesha huyu ndugu yake ambaye yupo matatizoni. Anataka kuiingiza familia nzima kwenye makosa. Ukipata tatizo ndio utamjua ndugu yako na jirani yako wa kweli ni yupi
Malafyalembombo ngafu....🙌
Haya ni maneno ya Kiswahili ya kwenye kanga kutetea uhalifu.Wabongo mnapenda umbea sana
Anasema kwenye kampeni za chadema walikua wana amsha amsha kwa mapanga na marungu [emoji1787]Huyu Mjinga akamatwe haraka
Nafikiri CHADEMA wanaunga mkono wakamatwe yeye na dada yake Pauline wakatoe ushahidi huo.Anasema kwenye kampeni za chadema walikua wana amsha amsha kwa mapanga na marungu [emoji1787]