butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Wewe ni mjinga,acha kunywa K Vant asubuhi asubuhi!Sasa wamesca, si lazima walinde usalama wa kwao? Au?
Hkuna ushabiki, usiwe mjinga, Tnzania tunasheria inayoruhusu kuwinda na kuwajausha wanyama na kuwasafirisha.
Tuna sheria mpaka ya kusafirisha wanyama wakiwa hai. Tusiwe wajinga.
Kuna vyure tumepeleka USA tena tunavilipia kuwekwa huko. Au ulikuwa hujazaliwa bado? Soma kuhusu vyura wa kihansi.
Usifikiri watu wote tu wajinga kama mwewe, hata sheria za kwenu huzijuwi.
Vyura wa Kiansi ile Project inaeleweka na ipo kisheria pale hakuna smuggling kama Ili tukio la Australia.