Waliopo kwenye construction industry ndio wanaopiga hela Sana awamu hii.Ulichokiandika hapa kina ukweli kwa π―%. Watu walioko kwenye mfumo awamu hii wanafanya mambo makubwa sana mtaani. Maana hayupo wa kuwazuia.
Ufisadi umetamalaki kwenye kila kona ya nchi! Na hayupo anayejali. Watu wanapiga 10% kama hawana akili vizuri! Wananchi wanachoambulia ni kujengewa madarasa yasiyo na walimu wa kutosha, na pia vituo vya afya visivyo na dawa!
Ila kiukweli mzunguko wa hela mtaani kwa wananchi walio wengi, unakatisha tamaa. Ni watu wachache sana ndiyo wanaifaidi keki ya Taifa.
πππconfidence 0% sasa tunajua anayekushika mkono ni yule mwizi wa msoga mpiga madili!
Mradi gani umeanzishwa?Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.
Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.
Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.
Biashara kuimalika
Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa
Mzunguko wa pesa kuonekana
Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki
Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha
Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo
Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa
Wakulima angalau wanaona faida
Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Huyo ni bwege hajielewi bibi yao hana anachofanya zaidi ya kula bataMradi gani umeanzishwa?
Ukijuta wewe usidhani Kila mtu anajutia.Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno
Huduma za matibabu hovyo
Dollar hakuna
Umeme hakuna
Huduma ya maji safi ni taabu
Pesa mtaani hakuna
Bidhaa juu, hadi kero
Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo
Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!
Bandari zimemshinda kuzisimamia
Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake
Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii
Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!
Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini
Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Hapana!!! Una haki ya kumchukia Samia lakini nakuhakikishia PERFORMANCE ya Samia ni bora kuliko ya Magufuli!!Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno
Huduma za matibabu hovyo
Dollar hakuna
Umeme hakuna
Huduma ya maji safi ni taabu
Pesa mtaani hakuna
Bidhaa juu, hadi kero
Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo
Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!
Bandari zimemshinda kuzisimamia
Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake
Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii
Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!
Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini
Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Mkuu, maumivi kwa magufuli yalikuwa kwa wachache, hasa kwa wale yeye aliamini ni wapinzani wake wakiwamo wafuja fedha n.kHapana!!! Una haki ya kumchukia Samia lakini nakuhakikishia PERFORMANCE ya Samia ni bora kuliko ya Magufuli!!
Tofauti iliyopo Magufuli alikuwa anadanganya kila kitu na huku akiwa ametishia ukosoaji na uhuru wa vyombo vya habari.
Samia anaonekana ni "dhaifu" kwa vile amewaacha museme kila mnachotaka japo mumeingiza na matusi.
Ni Omani yangu kuwa Samia tutampima mwaka 2025 kwa TAKWIMU za kukua kwa uchumi na siyo MIPASHO kama ya kwako Nsanzagee
Hao ni wanafiko tuu,hakuna awamu iliyofanikiwa kama awamu ya 6 ya Samia kuanzia utitiri wa miradi Hadi Ustawi wa Maisha huko mtaani.Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.
Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.
Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.
Biashara kuimalika
Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa
Mzunguko wa pesa kuonekana
Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki
Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha
Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo
Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa
Wakulima angalau wanaona faida
Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Tatizo mmekalili kwamba raisi ndiye atakae kufanyia uishi maisha mazuri. Hilo mzee sahau hata wapite marais 1000 haliwezi kutokea kama ww mwenyewe huto pambania maisha yako.Biashara ipi wewe unafana na inatembea mkuu??
Nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara...Kenya hali ni tete, wanatembeza bakuli Marekani ππ₯πΌ
Ujenzi wa barabara kwa kiwango Cha lami kutoka Maswa- Simiyu mpaka Singida.Mradi gani umeanzishwa?
π€ Tunachagua rais ili iwe nini mkuu!Tatizo mmekalili kwamba raisi ndiye atakae kufanyia uishi maisha mazuri. Hilo mzee sahau hata wapite marais 1000 haliwezi kutokea kama ww mwenyewe huto pambania maisha yako.
Na umepost, smart phone yako inatunza chaji,usisingizie solarSiku ya tatu hapa nilipo hakuna umeme wala taarifa yeyote