Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Ulichokiandika hapa kina ukweli kwa 💯%. Watu walioko kwenye mfumo awamu hii wanafanya mambo makubwa sana mtaani. Maana hayupo wa kuwazuia.

Ufisadi umetamalaki kwenye kila kona ya nchi! Na hayupo anayejali. Watu wanapiga 10% kama hawana akili vizuri! Wananchi wanachoambulia ni kujengewa madarasa yasiyo na walimu wa kutosha, na pia vituo vya afya visivyo na dawa!

Ila kiukweli mzunguko wa hela mtaani kwa wananchi walio wengi, unakatisha tamaa. Ni watu wachache sana ndiyo wanaifaidi keki ya Taifa.
Waliopo kwenye construction industry ndio wanaopiga hela Sana awamu hii.
 
confidence 0% sasa tunajua anayekushika mkono ni yule mwizi wa msoga mpiga madili!
😁😁😁
163178281631782897.jpg
 
Kuna sehemu wamefanikiwa na kuna sehemu wamefeli kwaiyo ni 50 kwa 50.
 
Halafu huyo Samia akija kijijini kwenu wewe na mkeo mnakesha mkimshangaa Harmonize
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Mradi gani umeanzishwa?
 
Awamu ya mateso Dadeki hadi Malaya wanalia usifanye mchezo, UTI ni ugonjwa wa Taifa kwenye utawala huu na USHOGA na usagaji vinaongeza
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Ukijuta wewe usidhani Kila mtu anajutia.

Ulishawahi ona wapi awamu iliyofeli inamimina mabilioni Kwa mabilioni kwenye miradi ya Wananchi?
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Hapana!!! Una haki ya kumchukia Samia lakini nakuhakikishia PERFORMANCE ya Samia ni bora kuliko ya Magufuli!!

Tofauti iliyopo Magufuli alikuwa anadanganya kila kitu na huku akiwa ametishia ukosoaji na uhuru wa vyombo vya habari.

Samia anaonekana ni "dhaifu" kwa vile amewaacha museme kila mnachotaka japo mumeingiza na matusi.

Ni Omani yangu kuwa Samia tutampima mwaka 2025 kwa TAKWIMU za kukua kwa uchumi na siyo MIPASHO kama ya kwako Nsanzagee
 
Hapana!!! Una haki ya kumchukia Samia lakini nakuhakikishia PERFORMANCE ya Samia ni bora kuliko ya Magufuli!!

Tofauti iliyopo Magufuli alikuwa anadanganya kila kitu na huku akiwa ametishia ukosoaji na uhuru wa vyombo vya habari.

Samia anaonekana ni "dhaifu" kwa vile amewaacha museme kila mnachotaka japo mumeingiza na matusi.

Ni Omani yangu kuwa Samia tutampima mwaka 2025 kwa TAKWIMU za kukua kwa uchumi na siyo MIPASHO kama ya kwako Nsanzagee
Mkuu, maumivi kwa magufuli yalikuwa kwa wachache, hasa kwa wale yeye aliamini ni wapinzani wake wakiwamo wafuja fedha n.k

Ila kwa waliokuwa wengi, hawawezi kusikiliza maoni haya Stuxnet
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Hao ni wanafiko tuu,hakuna awamu iliyofanikiwa kama awamu ya 6 ya Samia kuanzia utitiri wa miradi Hadi Ustawi wa Maisha huko mtaani.

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1704772566999540114?t=vIUSWpXkgoBSB6NU5orrTQ&s=19
 
Biashara ipi wewe unafana na inatembea mkuu??
Tatizo mmekalili kwamba raisi ndiye atakae kufanyia uishi maisha mazuri. Hilo mzee sahau hata wapite marais 1000 haliwezi kutokea kama ww mwenyewe huto pambania maisha yako.
 
Tatizo mmekalili kwamba raisi ndiye atakae kufanyia uishi maisha mazuri. Hilo mzee sahau hata wapite marais 1000 haliwezi kutokea kama ww mwenyewe huto pambania maisha yako.
🤔 Tunachagua rais ili iwe nini mkuu!

Ni kwamba ahakikishe kila kitu kinaenda hovyo?

Kuhakikisha wananchi wanakuwa na maisha nafuu ni sehemu ya uongozi na usimamizi wa rais
 
Back
Top Bottom