Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Narudia tena,

Ingawa siwezi kukwambia chochote kuhusu kile naagiza kwa dollar na imekuwa changamoto

Ila ukae ukijua, nakupa siri tu za wafanya biashara sisi kwamba, hata hayo mafuta kuoanda saana, changamoto ni dollar
Huna lolote wewe unafata mkumbo wa maneno ya watu tu.

Mafuta Tanzania rahisi kuliko Kenya, nako vipi?

Kama hutaki kusema unaagiza nini, sema unaagiza wapi?
 
Huna lolote wewe unafata mkumbo wa maneno ya watu tu.

Mafuta Tanzania rahisi kuliko Kenya, nako vipi?

Kama hutaki kusema unaagiza nini, sema unaagiza wapi?
Usiyekuwa na lolote ni wewe unayebishia mpaka bunge lako na waziri wako wa fedha
 
Uko sahihi

Kile usichokuwa sahihi, umeshindwa kubainisha unafuu wa mkulima anaupata wapi na atajiendeleza vipi anapouza mazao yake kwa bei juu, akirudi kwenye vifaa vingine vya ujenzi, analutana na mrundikano wa bei

Nafuu yake ni ipi hapo mkuu
Kwanza itambulike hii nchi haina sera ya kuwainua Watanzania wa asili kiuchumi.
Kama ipo sera na mipango hiyo naomba mnikosoe kwa kuiweka.

Kila kitu nchi hii ni kodi na hakuna nafuu kwa Raia Toka awamu zilizopita mpaka hii.

Tukija kwenye jicho la kijasiriamali Mkulima atafaidika kwa kupata fedha zaidi baada ya kuuza bidhaa kwa bei nzuri hivyo kupunguza ukali wa maisha na kumudu gharama za maisha.

Bidhaa za ujenzi zilipanda toka awamu zilizopita na hata Sasa zitaendelea kupanda sio tu kwa mkulima Bali kwa walala hoi wote watateseka.

Hakuna sera ya nchi kupambana na tatizo hili, chanzo kikubwa ikiwa ni Kodi na gharama kubwa za uendeshaji.

Sio wakulima tu, vipi vibarua wa viwanda mbali mbali mbona hamuwaangalii maslahi yao?

Vipi kazi za bar, migahawa, hoteli na wenyewe sio wanyonge? Tuna sheria za kuwalinda?

Tatizo kubwa la Watanzania hata kwenye huu Uzi ni unafiki na roho ya kwa nini au kifupi roho mbaya badala ya kupigania maslahi ya nchi wenyewe hufurahi kundi fulani likinyanyasika.

Wenyewe hutazama kundi la wafanyakazi kama wezi wakati tunajisahau dhima tuliyompa Mwalimu kulea Vijana wetu au Mkunga na wagonjwa wetu.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!
Halafu wanasema tuwakosoe kwa staha ,shuwain zao
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!
Wale wanafiki watesema mama anaupiga mwingi sijui anaupigia wap
 
Petrol inatoka nje ya nchi inanunuliwa kwa fedha ya kigeni, hakuna namna ambayo sisi tunaweza kuwa na utawala wa bidhaa ya kutoka nje, wanaitawala wenye kumiliki hizo biashara na sio sisi.

Huko Lindi wamepata hospitali mpya tangu nchi ipate uhuru, unapowaambia awamu hii ni mbovu inabidi uje na hoja zenye kuingia vichwani mwao.

Kodi huwezi kukwepa kuzilipa iwapo unataka huduma ziboreshwe. Hao wanaotupa misaada wanajinyima matanuzi ili sisi tuweze kuishi, kumbuka hilo kabla hujaendelea kulialia.

Bandari inapata mwekezaji DP World na mwezi Novemba anaanza kazi, kule Mbegani Bagamoyo pia anakwenda kupatikana mwendeshaji mahiri, hiyo sekta ya uchukuzi serikali imejipanga kisawasawa.

Masuala mengi ya kiuchumi yanakwenda kupata ufumbuzi.

Punguza kulialia.
Uongozi dhaifu kama wa huyu bibib kila kitu hutsfuta excuse ,lakin uongozi imara hutafuta suluhisho
 
Serikali dhaifu kupata kutokea toka Tz imeumbwa ni hii ya 6 sijui, ni kama mbwa koko!.
Serikali pekee iliyobariki upigaji, rejea Mama akiwaambia wasaidizi wake (Mawaziri) wale kwa urefu wa kamba zao shingoni!.
Et wale ila wasivimbiwe!.
Umeongea ukweli ,kama huyu mazA alikuwa hataki kuingoz tz angesema tu kuliko kufungulia mwa kama alivyofanya
 
Ttzo lilianzia kwa jiwe mambo ya uchumi sio yakuchezea na uchumi kuurudisha ktk hali yake ya mwanzo hua ni kaz sana na huwa inachukua mda sana
Na mattzo ya uchumi huwa yaanza mdg mdg mwisho wa sku yanakua makubwa
Kipindi cha jiwe biashara na shuguli nying sana zilifungwa matajiri weng walipewa makesi na wengne kuzurumiwa pesa zao na serikal ya jiwe
Lakin pia mashirika ya kimataifa pamoja na wawekezaji toka njee walipoteza imani kwa nchi na serikal na wawekezaji wanapokosa imani na nchi uchukua mda mrefu sana kurudisha imani yao

Ebu angalia wahindi iv unazan kwann wahindi ad leo hawajengi majumba Tz km ilivyokua zamak kbla ya nyerere ebu angalia waindi leo uwekezaji wao ulivyo kwa ufupi wahindi hawana imani na serikal ya tz kutokana na matendo walofanywa na mwalimu nyerere ya kuwanyanganya na kutaifisha mali zao

Huyu mama kuna baadhi ni makosa yake ila ving ni muendelezo wa makosa ya jiwe jiwe aliharibu sana nchi.
Uanmwembela mwela tu ww ukikosa kazi haimaNishi nchi ipo vibaya matatizo yako binafs sio matatizo ya nchi ,kwa hiyu amekutsdolla 2130 anaipeleka 3000 muda sio mrefu halafu unakuj na pumba zako
 
Ttzo lilianzia kwa jiwe mambo ya uchumi sio yakuchezea na uchumi kuurudisha ktk hali yake ya mwanzo hua ni kaz sana na huwa inachukua mda sana
Na mattzo ya uchumi huwa yaanza mdg mdg mwisho wa sku yanakua makubwa
Kipindi cha jiwe biashara na shuguli nying sana zilifungwa matajiri weng walipewa makesi na wengne kuzurumiwa pesa zao na serikal ya jiwe
Lakin pia mashirika ya kimataifa pamoja na wawekezaji toka njee walipoteza imani kwa nchi na serikal na wawekezaji wanapokosa imani na nchi uchukua mda mrefu sana kurudisha imani yao

Ebu angalia wahindi iv unazan kwann wahindi ad leo hawajengi majumba Tz km ilivyokua zamak kbla ya nyerere ebu angalia waindi leo uwekezaji wao ulivyo kwa ufupi wahindi hawana imani na serikal ya tz kutokana na matendo walofanywa na mwalimu nyerere ya kuwanyanganya na kutaifisha mali zao

Huyu mama kuna baadhi ni makosa yake ila ving ni muendelezo wa makosa ya jiwe jiwe aliharibu sana nchi.
Umeandika nini sasa na wewe
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu
Huu ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom