kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Hater tuMwanzo ulisema hana ubavu wa kuandaa show za kuwaleta wasanii wa nje saivi unauliza alipata kiasi hahahahaha wewe jamaa world class hater hahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hater tuMwanzo ulisema hana ubavu wa kuandaa show za kuwaleta wasanii wa nje saivi unauliza alipata kiasi hahahahaha wewe jamaa world class hater hahahahah
Diamond mwenyewe kuna siku alimuwish Bday AY instagram ana akaandika kuwa watu ambacho hawajui ni kuwa ni yeye aliye mconnect akafanya collabo na Davido.Najaribu kwenda na nyie hizo claim zenu,na hesabu tu zinawakataa!
AY hawezi wafundisha CLouds how to book international artists!Thats true!
Hao artists wote waliletwa na Clouds officially.....
Sasa yeye kama alikua na ubavu that much wangekuja kwa jina la kampuni yake....He hasnt!
Na kama alishirikishwa in some capacity,alikua ni kama kijakazi wa giant Clouds..AY ni merely pawn in that whole business!
Alikua anatumwa,anakua bossed around like any other motherfucker!
Na kwenye hiyo 150mil,AY hesabu yake itakua ni kusikitisha sana ukitilia maana reputation ya Clouds kulalia watu...
Hebu acheni kabisa kuzusha vitu ambavyo AY hana capacity navyo,tunazidi kumuona desperate na more stupid!
Jamaa walilipwa ela na tigo ndo habari za kuhamia marekani na kununua nyumba zikasambaa, nina hakika na hili kwakuwa kesi yao ilikuwa chini ya Law firm ya akina msando na aliyekuwa anaisimamia kesi yao anafanya kazi kwa msando ni rafiki yangu nimesoma naye na siku walipolipwa walifanya kiparty.
Nyumba anaweza kuwa kanunua chini ya hiyo bei mbona check hapa zipo za bei nusu ya hapo
Propy - Buy or sell investment properties
HeeeDiamond mwenyewe kuna siku alimuwish Bday AY instagram ana akaandika kuwa watu ambacho hawajui ni kuwa ni yeye aliye mconnect akafanya collabo na Davido.
Acha ubishi tigo rufaa yao ilikataliwa nakwambia kitu nilicho na uhakika nacho asilimia 100. Yule aliyekuwa anasimama mahakamani anafanya kwa msando ni Wakili mSomi anaitwa Ally ndiye alikuwa anafuatilia na kuwa represent akina AY ni mtu wangu wa karibu. Hiyo rufaa ilitupiliwa mbali na ungekuwa unafuatilia ungejua hata vyombo vya habari baadhi vili report juu ya rufaa kutupiliwa mbali sema tu we umeamua kuleta ubishi tu.Mkuu
Habari za kulipwa umezipatia wapi?
Last time,Tigo walikata rufaa!
Sana sana uniambie labda walisettle out of court!
Na kumbuka ndani ya kesi walikua wanadai kitu kama 3Bilioni...nje ya mahakama ni lazima wapate chini ya hiyo,tuseme 2Bilioni....
Sasa hiyo wagawane watu watatu,yaani AY,Msando,MwanaFA,pia Kodi,Producers wa hiyo miziki,gharama za kesi,etc!Ay anawezapata 500mill net...
ndio ukanunue nyumba ya 600,000USD kwa upumbavu wa 500mil TZS?Hivi nyumba ya 1.5Bilioni hua inanunuliwa kwa 500milioni?Mlienda shule wapi nyie?
Na ujue ni kiki,sio yeye mwenyewe tu ndio angelipwa,wangelipwa wote,mbona Msando na MwanaFA wanasaga vumbi tu yeye ndio awe mambo safi na show off nyingi namna hii kama sio kiki ya hiyo single ya SAFARI?
Go and lie to kids,we are grown ass men here!
Yaani unaita.million 500 upumbavu hahahah wewe jamaa hufai kwa chuki sijui ushawahi zishika hizo tangu uzaliwe pengine unaziota .Mkuu
Habari za kulipwa umezipatia wapi?
Last time,Tigo walikata rufaa!
Sana sana uniambie labda walisettle out of court!
Na kumbuka ndani ya kesi walikua wanadai kitu kama 3Bilioni...nje ya mahakama ni lazima wapate chini ya hiyo,tuseme 2Bilioni....
Sasa hiyo wagawane watu watatu,yaani AY,Msando,MwanaFA,pia Kodi,Producers wa hiyo miziki,gharama za kesi,etc!Ay anawezapata 500mill net...
ndio ukanunue nyumba ya 600,000USD kwa upumbavu wa 500mil TZS?Hivi nyumba ya 1.5Bilioni hua inanunuliwa kwa 500milioni?Mlienda shule wapi nyie?
Na ujue ni kiki,sio yeye mwenyewe tu ndio angelipwa,wangelipwa wote,mbona Msando na MwanaFA wanasaga vumbi tu yeye ndio awe mambo safi na show off nyingi namna hii kama sio kiki ya hiyo single ya SAFARI?
Go and lie to kids,we are grown ass men here!
Mkuu Collabo siku hizi na wasanii wa nje ndo zimekuwa rahisi kitambo hicho ilikuwa zinafanyika kwa connection. Kama ulisikiliza Omyy akihadithia beef yake na diamond ilipotoka na wakati akimlaumu Sallam Sk, alisema kwamba Sallam alimpgia simu Ommy akamwambia kama ana dolar 7000 amfanyie mpango afanye kazi na DAvido. ommy akakubari kwenda hotelini alikofikia Davido akamkuta Diamond tayari ashafika Tekno ana set mini studio Davido aanze kuingiza vocal ikabidi yeye aghair. Hapo utaona ilikuwa ni kitu ambacho watu walikuwa wanalipia kuwa connected.Heee
Mzee ubongo wako unafanya kazi kweli...
Kumpa Diamond namba ya simu ya Davido ndio kunafanya AY awe bilionea mwenye majumba LA?
Hebu usinifanye ni-doubt your intelligence kabisa!
Hahahahah hapa ninmecheka mkuu sasa unataka bilionea akae kwenye shamba LA hekari 100Yaleyale ya Diamond kusemwa ni bilionea huku anakaa kwenye nyumba ya kiwanja cha 25×25 madale
Wakasettle out of court wakat kesi walishinda tigo wakakata rufaa ikatupiliwa mbali sasa wasettle vipi out of court keep hating watu wanasonga tuYaani inaitwa .million 500 upumbavu hahahah wewe jamaa hufai kwa chuki sijui ushawahi zishika hizo tangu uzaliwe pengine unaziota .
Achana na AY jamaa kashakupiga gepu wewe pambana na hali yako
Yaani unaita.million 500 upumbavu hahahah wewe jamaa hufai kwa chuki sijui ushawahi zishika hizo tangu uzaliwe pengine unaziota .
Achana na AY jamaa kashakupiga gepu wewe pambana na hali yako
Sasa hivi ni rahisi mbona Ommy anashindwa kufanya hiyo Colabo.Mkuu Collabo siku hizi na wasanii wa nje ndo zimekuwa rahisi kitambo hicho ilikuwa zinafanyika kwa connection. Kama ulisikiliza Omyy akihadithia beef yake na diamond ilipotoka na wakati akimlaumu Sallam Sk, alisema kwamba Sallam alimpgia simu Ommy akamwambia kama ana dolar 7000 amfanyie mpango afanye kazi na DAvido. ommy akakubari kwenda hotelini alikofikia Davido akamkuta Diamond tayari ashafika Tekno ana set mini studio Davido aanze kuingiza vocal ikabidi yeye aghair. Hapo utaona ilikuwa ni kitu ambacho watu walikuwa wanalipia kuwa connected.
Acha ubishi haikuwa rahisi kipindi hicho msanii wa Tz kufanya collabo na wasanii wanaija maana kwanza walikuwa hawafahamiki huko.
Mkuu Collabo siku hizi na wasanii wa nje ndo zimekuwa rahisi kitambo hicho ilikuwa zinafanyika kwa connection. Kama ulisikiliza Omyy akihadithia beef yake na diamond ilipotoka na wakati akimlaumu Sallam Sk, alisema kwamba Sallam alimpgia simu Ommy akamwambia kama ana dolar 7000 amfanyie mpango afanye kazi na DAvido. ommy akakubari kwenda hotelini alikofikia Davido akamkuta Diamond tayari ashafika Tekno ana set mini studio Davido aanze kuingiza vocal ikabidi yeye aghair. Hapo utaona ilikuwa ni kitu ambacho watu walikuwa wanalipia kuwa connected.
Acha ubishi haikuwa rahisi kipindi hicho msanii wa Tz kufanya collabo na wasanii wanaija maana kwanza walikuwa hawafahamiki huko.
Acha ubishi tigo rufaa yao ilikataliwa nakwambia kitu nilicho na uhakika nacho asilimia 100. Yule aliyekuwa anasimama mahakamani anafanya kwa msando ni Wakili mSomi anaitwa Ally ndiye alikuwa anafuatilia na kuwa represent akina AY ni mtu wangu wa karibu. Hiyo rufaa ilitupiliwa mbali na ungekuwa unafuatilia ungejua hata vyombo vya habari baadhi vili report juu ya rufaa kutupiliwa mbali sema tu we umeamua kuleta ubishi tu.
Hahaha..mkuu hii nimenukuu tu maneno ya watu humuhumu JF..Hahahahah hapa ninmecheka mkuu sasa unataka bilionea akae kwenye shamba LA hekari 100
Ikiwa rahisi watu hawakutumii tena biashara hailipi. Ona logic ni kwamba kipindi kile watu walikuwa hajafunguka hata kwenda South walikuwa wanaomba connections ndo maana hata video ya My number one diamond aliwafuata ogopa wamwelekeze nani anaweza mfanyia S.A. Sasa hivi watu washafunguka wasanii wa Nigeria wanawajua wasanii wa Tz ni rahisi mtu kufanya collabo na msanii wa Niger hata South bila kupitia kwa middleman biashara hiyo hailipi tena hata social medea zimesaidia watu wanaanzia online kuliko kipindi kile ilikuwa haijawa sana.Sasa hivi ni rahisi mbona anashindwa kufanya.
I am out naona umeamua kubisha tu Mkuu. Aya tufanye hawakulipwaThis is a LIE!
Tupe case number hapa,mengine tutacheck wenyewe!
Iweje walipwe wote,AY ndio atakate kwa show offs nyingi na mbwembwe nyingi sana ila FA na Msando wanakula vumbi?
Why,why,why?
FA anakula vumbi,Msando na sifa zake zote anakula vumbi,eti ghafla bin vuu AY ndie tajiri?
GTFOH!
Nope ili nikuelewe unachokusema kusema naomba uwasilishaji wako uwe neutral yaani usiweke hisia zako juu ya kile unachotaka tuelewe hapa hii Nayo haihitaji lecture wala shule ya primary kuelewa .Mzee Mazigazi!
Ni simple comparison tu...Nyumba ya 1.5Bilioni halafu wewe una 500milioni,utawezaje kununua hiyo nyumba kama wewe sio kichaa fresh?
500milioni ni "upumbavu" kwenye 1.5Bilioni....
Kama umepitia primary school umefundishwa kuhesabu na unajua 1.5Bilioni >>>>500Milioni!
Duh,hii mpaka uwe lectured,again?
AY si mtu wa kusema sana mambo yake na before diamond hajasema mwenyewe alikuwa ana sema kuna msaniii mkubwa nliwah mconnect na mtu but sitosema mpaka akiamua sema mwenyewe ilipita miaka mpaka diamond kuja post hyo kitu.Uko kidato cha ngapi mkuu?
And if Im generous sana,kama upo chuo,upo mwaka wa ngapi na chuo gani?Ukishanipa hizo data nitajua wewe una upeo kiasi gani?
AY ameunganisha wangapi?Kutoa namba ya connection kuongea na msanii kufanya collabo ni biashara?
Let say ni biashara kweli!Twende na namba sasa:
AY kaunganisha wangapi na kakusanya kiasi gani?Unaweza kutupatia takwimu?
Always number never lie!