Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nimekuelewa na nitalifanyia kazi mkuu..Lengo lenu ni zuri sana, lakini kitendo cha kazi nyingi za sanaa kutoka nje ya Tanzania zinazotafsiriwa kwa kiswahili kuwa na sauti zile zile kwa kazi tofauti tofauti, siyo sawa.
Itapendeza kama mtaweza kuwa na watia sauti tofauti wengi kuliko Kila kazi ya sanaa kutumia sauti zile zile za watia sauti.
Mtu anadharau kozi za lugha wakati hizo lugha zenyewe zinamfua kiroho mbaya?Huyo atakuwa zuzu grade one!changamoto itakuwa ni ngumu kuwapata
watanzania wanajua kituruki, kikorea, watakuwa wachache
au wanawafundisha wenyewe?
halafu si unajua huku bongo ukisoma kozi za lugha unadharaulika
Mkuu zile muvi huwa zinakuja na subtitles..changamoto itakuwa ni ngumu kuwapata
watanzania wanajua kituruki, kikorea, watakuwa wachache
au wanawafundisha wenyewe?
halafu si unajua huku bongo ukisoma kozi za lugha unadharaulika
Ni watuHio ni program sio watu.
Amini mkuu...nakataa kuamini dubbing inafanywa kwa kuangalia subtitles
inabidi dubber ajue lugha husika
mfano sentensi ya kiingereza "head in the clouds" ukiitafsiri kama ilivyo mtazamaji atapoteza maana kwasababu huo ni msemo unaomaanisha mtu kapoteza umakini
kuna mafunzo fulani inabidi upitie
Ni programNi watu
NI watu. Na huwa wanahojiwa tunawaona na kuwasikia. Kama wewe ni mpenzi wa tamthilia na unaangalia Azam Two utawajua na kuwaona hao watu wanaotafsiri.Ni program
mkuu kuna watu ni polyglots wanajua lugha hata 7.Amini mkuu...
Nilikua deptment ya karibu na hao translator...
Labda sijajua kama hayo mambo yamebadilika...
We assume sauti zile zile je hao wote wanajua lugha zote hizo...
Pia watalamu wa lugha wapo sana tuu
Yes ni watu. Na wenyewe walishawahi kuhojiwa.Ni watu
Wanahojiwa kila siku kwenye kipindi cha NDANI YA BOXYes ni watu. Na wenyewe walishawahi kuhojiwa.
Madamu MI NIMEELEWA sawa sema ujue nini..NI watu. Na huwa wanahojiwa tunawaona na kuwasikia. Kama wewe ni mpenzi wa tamthilia na unaangalia Azam Two utawajua na kuwaona hao watu wanaotafsiri.
poor brain amesema waingiza sauti wanatumia subtitles, sio lazima wajue lughamshamba_hachekwi wanaotafsiri hizo "Subtitles" si lazima wawe ndiyo wanaoingiza sauti.
Mimi nazungumzia wanaoingiza sauti. Watafsiri wanaweza kuwa hata wawili tu, bali watia sauti kwa kuwa hutumia Muongozo (Script) uliotafsiriwa tayari, ni rahisi kuwabadili.
Haikuwa inalipa hata kidogo?Kwamba hawakuwa wanalipa kabisa?Mimi nishawai pewa dili la kuingiza sauti kwenye program moja ya wachina ila haikua inalipa hata kidogo
Unakuaje na njaa? Kwani mashangazi wako wakwapi leo?Madamu MI NIMEELEWA sawa sema ujue nini..
Hapa nilikua natafuta mtu wa kubishana nae ili nimtolee njAA YOTE HII AISEEE πππππ