Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unadhani n rahisi kuanzisha channel ya jambo moja pekee?Pia waanzishe channel za muziki aisee, mfano kuwe na documentary za muziki wa bongo flavor, wao wame base kwenye tamthilia na mpira tuu,
Watupie jicho na muziki
ImHajui wewe una insider anayekupa vitu vya ndaaniiiiiiii
What if I'm the inside insider??🤔Hajui wewe una insider anayekupa vitu vya ndaaniiiiiiiiii.
Poor Brain ana mtu anajua mambo yale ya ndaniiiii.What if I'm the inside insider??🤔
Sio nina mtu..Poor Brain ana mtu anajua mambo yale ya ndaniiiii.
Sorry... Nimekosea jinsi ya kumtambulisha.Sio nina mtu..
Ni mpenzi wangu mkuu
Ndio maana nipo hapa kupokea taarifa zote za azam na kuzifikisha sehem sahihi mkuuSorry... Nimekosea jinsi ya kumtambulisha.
Kwa ivo ni kama unapata "daily briefing and updateds". Hapo lazima uheshimike kwa kuwa wewe ni chanzo sahihi kwa huu mjadala🙄
Unategemeka, usikilizwe.Ndio maana nipo hapa kupokea taarifa zote za azam na kuzifikisha sehem sahihi mkuu
Kama kuna kitu kinakukera upande wa tv na redio tell meUnategemeka, usikilizwe.
Allen una uhakika mimi sio chanzo sahihi cha taarifa kwenye huu mjadala? Hayaa 😂😂Sorry... Nimekosea jinsi ya kumtambulisha.
Kwa ivo ni kama unapata "daily briefing and updateds". Hapo lazima uheshimike kwa kuwa wewe ni chanzo sahihi kwa huu mjadala🙄
Muache aamue maana anaona kabisa unataka kupotosha umma hapaAllen una uhakika mimi sio chanzo sahihi cha taarifa kwenye huu mjadala? Hayaa 😂😂