Azam Ongezeni watu wanaotafsiri kazi za Sana za nje.

Azam Ongezeni watu wanaotafsiri kazi za Sana za nje.

Sio kweli Azam wana studio yao palepale Tabata hivi hamfuatilii makala zao za dubbing mboni wana vipindi hivyo hua wanaonyesha behind nini kinachofanyika
Basi kuna baadhi zinafanyika back yard. We sikiliza sauti za voice over artist iwe azam dstv, mambo moto yani sauti ni zile zile hata kwenye nguzu.
Jamaa alinipa bei ya kufanya voice over, sound director 300000 kwa saa, sio, studio session kwa saa sijui alisema 150000, bado sijamlipa artist... Nikajua nimepatana vibaya aisee. Nikawambia waturuki hii kazi naona mpelekee mtu mwingine.
 
Lengo lenu ni zuri sana, lakini kitendo cha kazi nyingi za sanaa kutoka nje ya Tanzania zinazotafsiriwa kwa kiswahili kuwa na sauti zile zile kwa kazi tofauti tofauti, siyo sawa.

Itapendeza kama mtaweza kuwa na watia sauti tofauti wengi kuliko Kila kazi ya sanaa kutumia sauti zile zile za watia sauti.
Utakuwa umetoka kijijiji very soon, make kwa mtu wa kawaida huwezi poteza muda kufuatilia ujinga,
 
Hapo unazungumzia kuingiza sauti au kusimamia kuingiza sauti unazungumzia ugumu wa kazi kwa muongozaji au kwa muingiza sauti?
Muingiza sauti hana kazi, kazi mwongoza sauti. Maana mwingiza sauti anasoma tu maneno yanayopita kwenye skrini yakifika kwenye kimstari. Anaweza kuingiza episode zake zote hata bila kujua story inaendaje na anayejibu atajibu nini.
 
Basi kuna baadhi zinafanyika back yard. We sikiliza sauti za voice over artist iwe azam dstv, mambo moto yani sauti ni zile zile hata kwenye nguzu.
Jamaa alinipa bei ya kufanya voice over, sound director 300000 kwa saa, sio, studio session kwa saa sijui alisema 150000, bado sijamlipa artist... Nikajua nimepatana vibaya aisee. Nikawambia waturuki hii kazi naona mpelekee mtu mwingine.
Hapo kweli pagumu
 
M
Mkuu usiwe mbishi,jifunze zaidi.
Wanaoinguza zile sauti ni watu na mara nyingi ama mwisho wa simulizi husika huwa wanajieleza hapo AZAM TV.
Mkuu weww ndo mbishi ngoja nikueleze haya mambo madogo tuu mi nina demu wangu anafanya hyo kaz i pale sema yeye yupo upande wa habari...

Kuna program zinaitwa encoder voice malting 2 focre translate....

Unataka nikuambie Inafanya vipi kazi
 
Inakuja na subtitles.

Anayefanya dubbing hana haja ya kujua lugha husika.

Hua wanaendesha auditions ila kuanzia audition mpaka mtu kupata kazi kama hana connection hatokuja kuitwa
Hapana, najua ninachokisema. Inatafsiriwa na Watanzania, na kuingizwa kwenye program inayoitwa Voice Q/Pro tools kisha waigizaji wanaingiza sauti kwa character husika.
 
Mkuu weww ndo mbishi ngoja nikueleze haya mambo madogo tuu mi nina demu wangu anafanya hyo kaz i pale sema yeye yupo upande wa habari...

Kuna program zinaitwa encoder voice malting 2 focre translate....

Unataka nikuambie Inafanya vipi kazi
Hakuna kitu kama hiko 😂😂 eti encoded malting whatever.... Hebu chukua ulichoandika hapo weka Google uone unaletewa nini. Hapa umechanganya makorokocho au demu wako hafanyi kazi hapo Azam 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom