Azam Ongezeni watu wanaotafsiri kazi za Sana za nje.

Azam Ongezeni watu wanaotafsiri kazi za Sana za nje.

Lengo lenu ni zuri sana, lakini kitendo cha kazi nyingi za sanaa kutoka nje ya Tanzania zinazotafsiriwa kwa kiswahili kuwa na sauti zile zile kwa kazi tofauti tofauti, siyo sawa.

Itapendeza kama mtaweza kuwa na watia sauti tofauti wengi kuliko Kila kazi ya sanaa kutumia sauti zile zile za watia sauti.
Watu wenyewe wapo?
 
Azam TV wana studio zao nzuri kabisa pale pale. Hiyo unayotaja ni ya mtu binafsi
Yah najua mkuu, lakini nilisikia kuwa sometimes kazi nyingine wanazifanya backyard. Mimi sijawahi kufiika azam lakini sasa kama wewe wajua hebu nieleze, kwanini sauti za azam, dstv, mambo moto ni zile zile au wote wanatumia watu wale wale?
 
Hakuna kitu kama hiko 😂😂 eti encoded malting whatever.... Hebu chukua ulichoandika hapo weka Google uone unaletewa nini. Hapa umechanganya makorokocho au demu wako hafanyi kazi hapo Azam 😂😂😂😂
Alafu mkuu naona unataka ugomvi na mimi..
Nina mtu wangu anafanya kazi upande wa transition sasa wewe endelea na google unazani kila kitu kipo Google
 
Pia waanzishe channel za muziki aisee, mfano kuwe na documentary za muziki wa bongo flavor, wao wame base kwenye tamthilia na mpira tuu,
Watupie jicho na muziki
 
Alafu mkuu naona unataka ugomvi na mimi..
Nina mtu wangu anafanya kazi upande wa transition sasa wewe endelea na google unazani kila kitu kipo Google
Ugomvi na wewe siuhitaji ila pia kuna vitu unaongea unapotosha jamii. I strongly suggest uongee na mpenzi wako kuhusu hiyo program, hiyo software uliyotaja and how it really works. Here for it
 
Ugomvi na wewe siuhitaji ila pia kuna vitu unaongea unapotosha jamii. I strongly suggest uongee na mpenzi wako kuhusu hiyo program, hiyo software uliyotaja and how it really works. Here for it
Madam wewe upo wapi kwani..
Maaana unaongea na hujui unaongea n nani..
Hapa nasubr leo jioni arudi ili akuelekeze kitu maana naona tunabishana wakati watu wanShinda na hizo softwares kila siku
 
Madam wewe upo wapi kwani..
Maaana unaongea na hujui unaongea n nani..
Hapa nasubr leo jioni arudi ili akuelekeze kitu maana naona tunabishana wakati watu wanShinda na hizo softwares kila siku
😂😂😂 Okay sawa mie naisubiri hiyo software inayoitwa encoder voice malting. Have fun na wifi yetu 🤗
 
changamoto itakuwa ni ngumu kuwapata

watanzania wanaojua kituruki, kikorea, watakuwa wachache

au wanawafundisha wenyewe?

halafu si unajua huku bongo ukisoma kozi za lugha unadharaulika
Hao wanaoingiza sauti wanakuta ikiwa tayari ina substitute za Kiswahili then wao wanasoma tuu, wanaozitafsiri kuja lugha yenu n watu wengine kabisa japokuwa hata hao wanaweza kutumika kuingiza sauti.
 
Mkuu unataka sie vijana tulio anza kazi juzi hapo Azam media tukale wapi na January ndio hii 😀 😃 enewei ngoja tuongee na cheche mtungi maoni yako nayafikisha mkuu
Vp mkuu nasikia mwezi huu kulikuwa na double salary, vp hadi nyie ajira mpya mlipewa au n wale walioajiriwa kitambo?
 
Back
Top Bottom