Azam TV wana studio zao nzuri kabisa pale pale. Hiyo unayotaja ni ya mtu binafsiMkuu nadhan waliopewa tenda ambao mostly ni studio ya back yard ndio wenye watu wale wale. Karibu kazi zote ziwe azam, dstv zinafanyika pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam TV wana studio zao nzuri kabisa pale pale. Hiyo unayotaja ni ya mtu binafsiMkuu nadhan waliopewa tenda ambao mostly ni studio ya back yard ndio wenye watu wale wale. Karibu kazi zote ziwe azam, dstv zinafanyika pale.
Watu wenyewe wapo?Lengo lenu ni zuri sana, lakini kitendo cha kazi nyingi za sanaa kutoka nje ya Tanzania zinazotafsiriwa kwa kiswahili kuwa na sauti zile zile kwa kazi tofauti tofauti, siyo sawa.
Itapendeza kama mtaweza kuwa na watia sauti tofauti wengi kuliko Kila kazi ya sanaa kutumia sauti zile zile za watia sauti.
Yah najua mkuu, lakini nilisikia kuwa sometimes kazi nyingine wanazifanya backyard. Mimi sijawahi kufiika azam lakini sasa kama wewe wajua hebu nieleze, kwanini sauti za azam, dstv, mambo moto ni zile zile au wote wanatumia watu wale wale?Azam TV wana studio zao nzuri kabisa pale pale. Hiyo unayotaja ni ya mtu binafsi
Ni mashine za watu wa programsNi program ukimaanishaje? Yaani sauti zinazoingizwa ni za mashine ama kitu gani?
Alafu mkuu naona unataka ugomvi na mimi..Hakuna kitu kama hiko 😂😂 eti encoded malting whatever.... Hebu chukua ulichoandika hapo weka Google uone unaletewa nini. Hapa umechanganya makorokocho au demu wako hafanyi kazi hapo Azam 😂😂😂😂
Vishu twende kulewa
Ugomvi na wewe siuhitaji ila pia kuna vitu unaongea unapotosha jamii. I strongly suggest uongee na mpenzi wako kuhusu hiyo program, hiyo software uliyotaja and how it really works. Here for itAlafu mkuu naona unataka ugomvi na mimi..
Nina mtu wangu anafanya kazi upande wa transition sasa wewe endelea na google unazani kila kitu kipo Google
And it's multimedia translation by the way, sio transition 😊Ugomvi na wewe siuhitaji ila pia kuna vitu unaongea unapotosha jamii. I strongly suggest uongee na mpenzi wako kuhusu hiyo program, hiyo software uliyotaja and how it really works. Here for it
mshamba_hachekwi wanaotafsiri hizo "Subtitles" si lazima wawe ndiyo wanaoingiza sauti.
Mimi nazungumzia wanaoingiza sauti. Watafsiri wanaweza kuwa hata wawili tu, bali watia sauti kwa kuwa hutumia Muongozo (Script) uliotafsiriwa tayari, ni rahisi kuwabadili.
Yeah! Wazo zurimkuu kuna watu ni polyglots wanajua lugha hata 7.
haswa hawa wanaoendaga kusoma vyuo vya nje
Madam wewe upo wapi kwani..Ugomvi na wewe siuhitaji ila pia kuna vitu unaongea unapotosha jamii. I strongly suggest uongee na mpenzi wako kuhusu hiyo program, hiyo software uliyotaja and how it really works. Here for it
😂😂😂 Okay sawa mie naisubiri hiyo software inayoitwa encoder voice malting. Have fun na wifi yetu 🤗Madam wewe upo wapi kwani..
Maaana unaongea na hujui unaongea n nani..
Hapa nasubr leo jioni arudi ili akuelekeze kitu maana naona tunabishana wakati watu wanShinda na hizo softwares kila siku
Daaah tatizo wabongo wabishi sana...😂😂😂 Okay sawa mie naisubiri hiyo software inayoitwa encoder voice malting. Have fun na wifi yetu 🤗
Kama mtu hakukusoma...😀😃😂😄Daaah tatizo wabongo wabishi sana...
Fanya kesho nikupeleke pale
Hao wanaoingiza sauti wanakuta ikiwa tayari ina substitute za Kiswahili then wao wanasoma tuu, wanaozitafsiri kuja lugha yenu n watu wengine kabisa japokuwa hata hao wanaweza kutumika kuingiza sauti.changamoto itakuwa ni ngumu kuwapata
watanzania wanaojua kituruki, kikorea, watakuwa wachache
au wanawafundisha wenyewe?
halafu si unajua huku bongo ukisoma kozi za lugha unadharaulika
Madam zion bado ajanipata pata wee subr tuuKama mtu hakukusoma...😀😃😂😄
Vp mkuu nasikia mwezi huu kulikuwa na double salary, vp hadi nyie ajira mpya mlipewa au n wale walioajiriwa kitambo?Mkuu unataka sie vijana tulio anza kazi juzi hapo Azam media tukale wapi na January ndio hii 😀 😃 enewei ngoja tuongee na cheche mtungi maoni yako nayafikisha mkuu
Hajui wewe una insider anayekupa vitu vya ndaaniiiiiiiiii.Madam zion bado ajanipata pata wee subr tuu