Basi kuna baadhi zinafanyika back yard. We sikiliza sauti za voice over artist iwe azam dstv, mambo moto yani sauti ni zile zile hata kwenye nguzu.Sio kweli Azam wana studio yao palepale Tabata hivi hamfuatilii makala zao za dubbing mboni wana vipindi hivyo hua wanaonyesha behind nini kinachofanyika
Utakuwa umetoka kijijiji very soon, make kwa mtu wa kawaida huwezi poteza muda kufuatilia ujinga,Lengo lenu ni zuri sana, lakini kitendo cha kazi nyingi za sanaa kutoka nje ya Tanzania zinazotafsiriwa kwa kiswahili kuwa na sauti zile zile kwa kazi tofauti tofauti, siyo sawa.
Itapendeza kama mtaweza kuwa na watia sauti tofauti wengi kuliko Kila kazi ya sanaa kutumia sauti zile zile za watia sauti.
Muingiza sauti hana kazi, kazi mwongoza sauti. Maana mwingiza sauti anasoma tu maneno yanayopita kwenye skrini yakifika kwenye kimstari. Anaweza kuingiza episode zake zote hata bila kujua story inaendaje na anayejibu atajibu nini.Hapo unazungumzia kuingiza sauti au kusimamia kuingiza sauti unazungumzia ugumu wa kazi kwa muongozaji au kwa muingiza sauti?
Hapo kweli pagumuBasi kuna baadhi zinafanyika back yard. We sikiliza sauti za voice over artist iwe azam dstv, mambo moto yani sauti ni zile zile hata kwenye nguzu.
Jamaa alinipa bei ya kufanya voice over, sound director 300000 kwa saa, sio, studio session kwa saa sijui alisema 150000, bado sijamlipa artist... Nikajua nimepatana vibaya aisee. Nikawambia waturuki hii kazi naona mpelekee mtu mwingine.
Na hapo ni ya mwala 97 imagine tuu mkuu daahBado wanandelea kuuza wako top 4 ya
Na hapo ni ya mwala 97 imagine tuu mkuu daahBado wanandelea kuuza wako top 4 ya
Watu wa mjini huwa mnafuatilia nini?Utakuwa umetoka kijijiji very soon, make kwa mtu wa kawaida huwezi poteza muda kufuatilia ujinga,
Haupo mbali kwakua subtitles hua zinatoka kwenye script.subtitles ama script?
mbona naambiwa ni script?
We dogo acha bangi, kubeba viroba vya unga pale buguruni kwa Bakhresa hakukufanyi kua msemaji wa mzee Bakhresa.Nimekuelewa na nitalifanyia kazi mkuu..
Asante kwa ushauri wako....πππππ
Mkuu usiwe mbishi,jifunze zaidi.Ni program
Daaah mkuu acha mambo yako ww ...We dogo acha bangi, kubeba viroba vya unga pale buguruni kwa Bakhresa hakukufanyi kua msemaji wa mzee Bakhresa.
Mkuu weww ndo mbishi ngoja nikueleze haya mambo madogo tuu mi nina demu wangu anafanya hyo kaz i pale sema yeye yupo upande wa habari...M
Mkuu usiwe mbishi,jifunze zaidi.
Wanaoinguza zile sauti ni watu na mara nyingi ama mwisho wa simulizi husika huwa wanajieleza hapo AZAM TV.
πππππ We dogo ni akili mgando dadekiDaaah mkuu acha mambo yako ww ...
Ujue mi ndo nafikisha haya malalamiko yenu
Kuanzia week ijayo kazi utafanyiwa mkuuπππππ We dogo ni akili mgando dadeki
Kazi ipi?? Sina kazi mjomba .Kuanzia week ijayo kazi utafanyiwa mkuu
Ni program ukimaanishaje? Yaani sauti zinazoingizwa ni za mashine ama kitu gani?Ni program
Hapana, najua ninachokisema. Inatafsiriwa na Watanzania, na kuingizwa kwenye program inayoitwa Voice Q/Pro tools kisha waigizaji wanaingiza sauti kwa character husika.Inakuja na subtitles.
Anayefanya dubbing hana haja ya kujua lugha husika.
Hua wanaendesha auditions ila kuanzia audition mpaka mtu kupata kazi kama hana connection hatokuja kuitwa
Hakuna kitu kama hiko ππ eti encoded malting whatever.... Hebu chukua ulichoandika hapo weka Google uone unaletewa nini. Hapa umechanganya makorokocho au demu wako hafanyi kazi hapo Azam ππππMkuu weww ndo mbishi ngoja nikueleze haya mambo madogo tuu mi nina demu wangu anafanya hyo kaz i pale sema yeye yupo upande wa habari...
Kuna program zinaitwa encoder voice malting 2 focre translate....
Unataka nikuambie Inafanya vipi kazi