Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Hiko chombo sio cha habar ni cha udini, yaaani wao na udini ni kulwa na dotto... Ukiona hata dini tofaut kaajiliwa hapo basi tambua ana akili kuliko wote waliopo ktk hiyo media...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah hii ndo ufikiriaju wako mdogo wanguAcheni kupangia watu vyakufanya wakat hamkuchnagia ata 100 kwenye kuanzisha iyo iyo biashara
Azam two ni chaneli ya dini ganiNi kweli alafu kwenye Azam Tv kuna channel nyingi za kikristo kuliko waislam
Channel za kikristo zilizo azam Tv
1.Tumaini Tv
2.Arise and Shine
3.WRM TV
4. Hope Channel
5.Upendo Tv
Za kiislam
1.Horizon Tv
2.Mahasin Tv
3.Tv Imaan.
Sasa Channel za kikristo zilivyo nyingi hivyo yeye bado kaamua kuziacha na kwenda kuangalia maudhui asiyo yapenda sijui anakwama wapi
PLot ya movie imesetiwa miaka ipi na ukanda upi? Kama kila kitu kipo sawa kosa la azam silioni mkuu.Shida sio kuwa na maudhui ya kidini naomba unielewe ndugu yangu katika Imani
Shida ni kupambanisha Imani za watu, moja kuichora kama Imani safi na nyingine kuwaita wadhalimu hii si sawa, na tena wanatumia hadi nyenzo takatifu za Imani nyingine kudhihaki
Mbona bongo movie zipo movie nyingi tu ambazo huegemea desturi za kiislamu lakini bila kukashifi Imani ingine? Movie za madebe na hata Mohamed nurdin nyingi tu ziko hivyo
Atapata wapi hela ya koti la suti!😂😂😂Halima shebuge dada angu tusipoangalia wewe utapata wapi kula!?
Ni kweli nilijaribu kuangalia pia hizo series za kituruki zote zina mlengo wa kidini.Jana nimerudi nimechoka nikafikia kujitupa tu kwenye kiti hakukuwa na mtu sebuleni ila TV ilikuwa inaonesha chaneli ya Azam 2
Macho yangu yakaona kipande kimoja kwenye tamthilia ya kituruki bila shaka inaitwa Alpasalani nadhani, Sasa Kuna Binti alikuwa Yuko kwenye mtego na viongozi wa utawala mwingine inaonesha huo utawala una Ukristu maana askari wake wana misalaba kwenye mavazi yao.
Sasa hawa askari aisee ni midebwedo vibaya mno yaani mwanamke moja anaua infidels (humo wanaita wadhalimu) zaidi ya 20 mbele ya kiongozi wao halafu Yuko pekeake na bado anaendelea kusurvive!? Duuuh ina maana hao ni wanyonge kiasi hiko? Halafu mule inaonesha waislamu ni watu wema sana na wakristu ni watu wenye Roho mbaya mno na hii chanel secular ila inabagua Imani moja na kuipendelea ingine.
Ututuki ni nchi ambayo raia wake wengi ni waislamu hivyo ni sawa kuwa na maudhui kama Yale, Sasa Tanzania hii ni multi religion county huwezi kuwa na maudhui hayo hayo tu kila siku ya kukandamiza Imani moja na kuipendelea ingine kulikuwa na;
Zote hizi maudhui ni yaleyale.
- Ertugrul
- Ottoman
- Barbarossa na Sasa ni hii
- Alpasalani
Azam tv badilikeni, hela tunalipa sisi lakini mnatutibua nyingi makusudi kabisa.
Na huu mwezi nitaacha kulipia hiki kisimbuzi kama ni ligi kuu nitaangalia bandani na kisimbuzi nitanunua cha startimes.
Azam tv mjifunze kwa wenzenu, mbona wao wanajua mipaka yao.
Mnakera bwana aah!
Ndugu yangu katika Imani ya kweli na haki, je wewe huamini katika ukweli na haki?PLot ya movie imesetiwa miaka ipi na ukanda upi? Kama kila kitu kipo sawa kosa la azam silioni mkuu.
Hapa mdini ni wewe. Maana hata mimi umeniita "ndugu katika imani" wapi nilikutajia mimi ni wa imani gani mkuu? Au ndo ukiiponda simba wewe ni yanga bila kujali unaweza kua pamba fc?
Hakuna Tamthilia isio na maudhui ya Dini, Tamthilia karibia zote za Kihindi zina maudhui ya Ki hindu, Ukiangalia za Telenova ama kifilipino utakuta maudhui ya kikristo, Uturuki ya kiisilamu etc. Hao Azam wanaonesha Tamthilia kibao, ukiona hio haikufai badilisha chanell angalia inayokufaa, kuwapangia Watanzania ama Azam kuangalia unachopenda wewe ni ujinga.Jana nimerudi nimechoka nikafikia kujitupa tu kwenye kiti hakukuwa na mtu sebuleni ila TV ilikuwa inaonesha chaneli ya Azam 2
Macho yangu yakaona kipande kimoja kwenye tamthilia ya kituruki bila shaka inaitwa Alpasalani nadhani, Sasa Kuna Binti alikuwa Yuko kwenye mtego na viongozi wa utawala mwingine inaonesha huo utawala una Ukristu maana askari wake wana misalaba kwenye mavazi yao.
Sasa hawa askari aisee ni midebwedo vibaya mno yaani mwanamke moja anaua infidels (humo wanaita wadhalimu) zaidi ya 20 mbele ya kiongozi wao halafu Yuko pekeake na bado anaendelea kusurvive!? Duuuh ina maana hao ni wanyonge kiasi hiko? Halafu mule inaonesha waislamu ni watu wema sana na wakristu ni watu wenye Roho mbaya mno na hii chanel secular ila inabagua Imani moja na kuipendelea ingine.
Ututuki ni nchi ambayo raia wake wengi ni waislamu hivyo ni sawa kuwa na maudhui kama Yale, Sasa Tanzania hii ni multi religion county huwezi kuwa na maudhui hayo hayo tu kila siku ya kukandamiza Imani moja na kuipendelea ingine kulikuwa na;
Zote hizi maudhui ni yaleyale.
- Ertugrul
- Ottoman
- Barbarossa na Sasa ni hii
- Alpasalani
Azam tv badilikeni, hela tunalipa sisi lakini mnatutibua nyingi makusudi kabisa.
Na huu mwezi nitaacha kulipia hiki kisimbuzi kama ni ligi kuu nitaangalia bandani na kisimbuzi nitanunua cha startimes.
Azam tv mjifunze kwa wenzenu, mbona wao wanajua mipaka yao.
Mnakera bwana aah!
Yeah mkuu unacheki na kutembeaMovie za Kimarekani kila siku magaidi wana onekana wanasoma Quran 😂😂😂😂, watu wanaangalia maisha yanakwenda
Hiyo ni channel ya entertainment zinarushwa movie mbalimbaliDaah hii ndo ufikiriaju wako mdogo wangu
Azam two ni chaneli ya dini gani
Kweli ya nini? Haki ya kitu gani?Ndugu yangu katika Imani ya kweli na haki, je wewe huamini katika ukweli na haki?
Kwanini usidili na wale wako chini ya mamlaka yako. Kama unaona ina maudhui ya upande mmoja, suluhisho ni kutokuwa mteja wao ila ukisema uwapangie cha kuonyesha utakuwa hujawatendea haki pia.Jana nimerudi nimechoka nikafikia kujitupa tu kwenye kiti hakukuwa na mtu sebuleni ila TV ilikuwa inaonesha chaneli ya Azam 2
Macho yangu yakaona kipande kimoja kwenye tamthilia ya kituruki bila shaka inaitwa Alpasalani nadhani, Sasa Kuna Binti alikuwa Yuko kwenye mtego na viongozi wa utawala mwingine inaonesha huo utawala una Ukristu maana askari wake wana misalaba kwenye mavazi yao.
Sasa hawa askari aisee ni midebwedo vibaya mno yaani mwanamke moja anaua infidels (humo wanaita wadhalimu) zaidi ya 20 mbele ya kiongozi wao halafu Yuko pekeake na bado anaendelea kusurvive!? Duuuh ina maana hao ni wanyonge kiasi hiko? Halafu mule inaonesha waislamu ni watu wema sana na wakristu ni watu wenye Roho mbaya mno na hii chanel secular ila inabagua Imani moja na kuipendelea ingine.
Ututuki ni nchi ambayo raia wake wengi ni waislamu hivyo ni sawa kuwa na maudhui kama Yale, Sasa Tanzania hii ni multi religion county huwezi kuwa na maudhui hayo hayo tu kila siku ya kukandamiza Imani moja na kuipendelea ingine kulikuwa na;
Zote hizi maudhui ni yaleyale.
- Ertugrul
- Ottoman
- Barbarossa na Sasa ni hii
- Alpasalani
Azam tv badilikeni, hela tunalipa sisi lakini mnatutibua nyingi makusudi kabisa.
Na huu mwezi nitaacha kulipia hiki kisimbuzi kama ni ligi kuu nitaangalia bandani na kisimbuzi nitanunua cha startimes.
Azam tv mjifunze kwa wenzenu, mbona wao wanajua mipaka yao.
Mnakera bwana aah!
Halafu wa mlengo mwingine ndio wanafeli na kuonekana wadhalimu na dhaifu sana... yaani hata kubalance hizo filamu zao wanashindwa.🤣🤣🤣Wanataka watu wasilimu kwa lazima
Shida sio kuwa na maudhui ya kidini naomba unielewe ndugu yangu katika ImaniHakuna Tamthilia isio na maudhui ya Dini, Tamthilia karibia zote za Kihindi zina maudhui ya Ki hindu, Ukiangalia za Telenova ama kifilipino utakuta maudhui ya kikristo, Uturuki ya kiisilamu etc. Hao Azam wanaonesha Tamthilia kibao, ukiona hio haikufai badilisha chanell angalia inayokufaa, kuwapangia Watanzania ama Azam kuangalia unachopenda wewe ni ujinga.
Kama walionesha maudhui ya namna hiyo hawakufanya jambo sahihi na kama nyinyi wenye Imani yenu mlikaa kimya basi mna ujinga sanaHiyo ni channel ya entertainment zinarushwa movie mbalimbali
Mbona walionyesha movie inaitwa Lone survivor yenye maudhui inayoonyesha waislam ni magaidi na waislam hawajaja kulalamika?