Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
- Thread starter
- #101
Safi sana mama na hiyo migalatia iko mingi kweli sijui nani iliwaloga
Unakuta mgalatia nae anakenua mdomo na kukodoa macho from saa nne mpaka saa tano..nilishawakataza wanangu kuangalia hizo tamthilia zao za mapanga shwaaa..na za kidini hazimfundishi mtt wa kikristu lolote...