Unakuta mgalatia nae anakenua mdomo na kukodoa macho from saa nne mpaka saa tano..nilishawakataza wanangu kuangalia hizo tamthilia zao za mapanga shwaaa..na za kidini hazimfundishi mtt wa kikristu lolote...
Unamaanisha crusaders sio? Waliua pia wakristo, na ile ni historia ya kweli, crusader ni kama unavyoona Nazi, Fascists ama Zionism ni movement tu za watu weupe ambao walikua wakijiona superior na wana haki ya kutawala dunia, na wengine si viumbe vikamilifu.
SahihiMkuu Uzia mtu kinga'amuzi icho kanunue cha kikatoliki ule maisha. Hao Azam hawakulazimishi kununua king'amuzi chao
📌🔨wakati mwingine njia bora ya kumwepuka mtu mjinga ni kukaa mbali naye.
binafsi huwa sioni mantiki ya kuingia ndani ya nyumba ya mtu halafu kuanza kupambana na ujinga uliopo ndani ya nyumba yake,mwache nao angalia mitikasi yako.
sio azam tu peke yake,ndugu zetu ktk imani huwa hawana utamaduni wa kutambua au kuheshimu imani nyingine,labd andivyo walivyofundishwa,suluhisho ni kutotumia bidhaa zao kabisa.sio kugome,hapana ni kujiepusha na makasiriko madogo madogo.
Ni kweli, Hauchangii hata sh 10 kwa AzamLike seriously kwamba hatuchangii hata shilingi 10?
?😳😳😳
Hilo linajulikana ni stori ya kweli ndiyo lakini mule Kuna chumvi nyingi saaaana yaani wanaonesha watu wa ottoman walikuwa wasafi sana halafu wabizantini (wakristu )ni mashetani na kila movement ilikuwa ni ya kishenzi kwa upande wa wakristu ila waislamu ndo ilikuwa hakiMm n mkristo lakin nilikuwa naipenda sana ottoman mpaka Leo napenda kufatilia mana n story ya kweli
It has nothing to do with caliphate, unless unataka kuanzisha ligi zisizo na maana.Crusade ni zao la caliphate
Nadhani unaelewa nikisema caliphate
Huwa siku zote nashauri watu Soma historia kwa wana Historia, Kajifunze Historia ya Crusaders kwa Roy Casagranda proffesor wa Historia Middle East chuo cha Austin Texas Marekani.Hilo linajulikana ni stori ya kweli ndiyo lakini mule Kuna chumvi nyingi saaaana yaani wanaonesha watu wa ottoman walikuwa wasafi sana halafu wabizantini (wakristu )ni mashetani na kila movement ilikuwa ni ya kishenzi kwa upande wa wakristu ila waislamu ndo ilikuwa haki
Wangeelezea matukio halisi basi sio kukandamiza upande mmoja na kuunyanya mwingine mbona historia iko wazi Dunia nzima
Huajalazimishwa kununua kisumbuzi cha Azam.Jamaa wabauguzi sana hata hiyo sinema zetu pia ni yaleyale
Tanzania hatuna mambo ya udini why wao waelemee upande mmoja? Tatizo la wabongo ndio hili, mtu ukikosoa kwa lengo zuri unaonekana una chuki.Huajalazimishwa kununua kisumbuzi cha Azam.
Hiyo ni historia ya uturuyna mapambano yao, ilikua dhidi ya wapagani na dhidi ya wakristuTena na misalaba yao kifuani😂