Azam TV badilisheni Tamthilia zenye mlengo wa itikadi za kidini

Channel mbona zipo nyingi. Weka ya mpira mkuu. Mambo mengine hayahitaji kutumia nguvu
 
Tanzania hatuna mambo ya udini why wao waelemee upande mmoja? Tatizo la wabongo ndio hili, mtu ukikosoa kwa lengo zuri unaonekana una chuki.
Hujawahi kupanda gari ukakuta wanapiga kwaya tu, kaswida au mawaidha?
Hujawahi kupanda gari ukaona mchungaji ameingia anahuburi na kukusanya sadaka??
 
Hujawahi kupanda gari ukakuta wanapiga kwaya tu, kaswida au mawaidha?
Hujawahi kupanda gari ukaona mchungaji ameingia anahuburi na kukusanya sadaka??
Ile ni media, inatazamwa na watu kote nchini, usifananishe na stori za kijiweni cha watu kumi
 
Yaani vitu vingine ni simple kweli kweli, unaacha tu vipite maana kama ni suala la dini zipo chaneli nyingi za dini labda ya kikristo etc...tunakuza mambo tu ambayo yanapelekea tuonekane wadini.
 
kwa kweli sijui ni kwanini wanapenda sana maudhui ya udini, ila hilo swala wanatakiwa walifanyie kazi.. with time haya mambo yanachosha aisee
We ujui kama tz Waislam ndio wengi kuliko Makafiri?
 
Fedha yako isikutese angalia upande mwingine hao wapo tezee ndiyo maana Li timu Lao kila siku linafugwa.
 
Shida Iko kwa TFF,
Hawakuzingatia Secularism,
Azam hawakustahili kushinda tender ile ili wapitishe maudhui.

Usilipimie Huduma isiyozingatia SECULARISM, unajikeraje Kwa pesa Yako?!
Dunia Haina Dini,
Mungu haisaidiwi, Mungu anajiweza!
 
Hiyo ni historia ya uturuyna mapambano yao, ilikua dhidi ya wapagani na dhidi ya wakristu
Je ni kweli hao wakristu na wapagani walikuwa ni wabaya sana hata kuhusisha na imani ndani yake
 
Kwanini unanielekeza nikajifunze kwa mtu mmoja unayemjua wewe wakati historia iko wazi?
Crusade sio historia ya kujificha ina vyanzo lukuki
 
Kingamuzi ulipie mwenyewe remote ushike mwenyewe kuchagua kuangalia Chanel moja kati ya chanel zaid ya 100 kisha unawalaumu Azam jaribu kuwa serious mkuu.
Sidhani kama una uelewa na unachokisema
TCRA inapofungia maudhui Fulani ina maana hakuna maudhui mengine ambayo watu wanaweza kuyafuatilia?

Hebu panua uwezo wa kifikiri
 
Je ni kweli hao wakristu na wapagani walikuwa ni wabaya sana hata kuhusisha na imani ndani yake
Sio walikuwa tu Bali mpk hv Sasa makafir ni viumbe waovu,we angalia hata sehemu walizo kwa wingi Kama mbeya,Arusha,Moshi,Njombe ndio kwenye matukio ya hovyo ya mauaji,ubakaji,ulawiti,ukimwi,kupigana nondo na kila Aina ya uovu
 
Walikufuata nyumbani ama walikushikia risasi ununue king'amuzi chao???
wacha manung'uniko ewe mtanzania, ving'amuzi viko vingi sana kurupuka.

Hallelujah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…