Azam TV badilisheni Tamthilia zenye mlengo wa itikadi za kidini

Dah wekezeni msiibe ela serikalini mkanunulia still na masherehe out that utatumia bidha ukitaka usitake ukiwa mzima aunumekufa
tuwekeze wapi??
wapi ambako hatupo??

wizi kila mtu anaiba,hata huyo unayeamini ni uislam umemtajitisha humjui kama tunavyomjua wengine.
 
Ila Mwamba izo Tamthilia achana nazo ww ingia Upendo TV au TBC 1 pale hutaona mambo ya udini.
 
Una fikra zenye mipaka sana, wafanyabiashara wangekuwa na mawazo kama yako hakuna kitu wangefanya
 
Ila Mwamba izo Tamthilia achana nazo ww ingia Upendo TV au TBC 1 pale hutaona mambo ya udini.
Haya mambo hayako hivyo na ndo maana kama taifa tuna kizazi cha hovyo kwa kupuuza kila jambo tukiaminu hayatuhusu nwishowe tunaongozwa na watu kama mwigulu nchemba
 
Hiki ni nini?
Sawa na Mimi kusema Muhammad karuhusu kufanya zinaa na watoto na kauahalalisha umalaya

Sio haki
 
Hiki hasa ndo nachomaanisha ila watoto wa mwamedi wanakaza makomwe tu
 
Angalia upo nchi gani. Hii ni Tanzania na sio India.
Dini ni influencial Kwa wale wanaoiamini. This is Tanzania yenye waislam na wakristo Kwa wingi,hayo mambo ya wahindu ni nothing to us. Tatizo ni pale zinapoguswa zinazotuhusu.
Shida sio uhindu wala ubudha shida kuonesha umma Imani yako ni Bora kuliko wengine na wengine ni dhalimu hapa ndo dosari inapoanzia hasa kwenye jamii yenye imani tofauti
 
Angalia upo nchi gani. Hii ni Tanzania na sio India.
Dini ni influencial Kwa wale wanaoiamini. This is Tanzania yenye waislam na wakristo Kwa wingi,hayo mambo ya wahindu ni nothing to us. Tatizo ni pale zinapoguswa zinazotuhusu.
mnakuza mambo
 
Na ndio mana channels zipo nyingi ukiona hii haifai chagua nyingine
 
Azam media Main Objective: Kuuodogosha Ukristo na kuukuza Uislam kupitia michezo na tamthilia za Kituruki (Ottoman empire vis Crusaders)
 
Umeandika madini kijana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…