Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Kuna tamthilia yao fulani mie ilikuwa inanikera
Sijui mtaa wa kazamoyo

Walikuja waswahili,wavuta bangi,wacheza vigodoro na wambea wote wakanishambulia.

.......
DsTv sisi wapenda kandanda safi acha ituue tu.
 
Nunua Canal+ dishi complete kwa Dar ni 160k
 
Wasije Kuongeza kifurushi kutoka 35 hadi 38.
 
Hatua kubwa kwenye Sekta ya habari, michezo na Burudani

Na ni jambo la kujivunia kuona Mswahili mwenzetu akipiga hatua kubwa za KiUwekezaji

Tulizoea kuona Wazungu na Makaburu ndiyo wanafanya Uwekezaji Kwa kiwango hicho, tumpe Maua yake akiwa hai

Kama ataweza aombe haki ya kurusha mchezo wa mieleka yaani WWE 🙏
 
Kama kuna mtanzania kuanzia leo ataendelea kuisema vibaya Azam media, atakuwa na matatizo binafsi!

Hili ni kampuni la kizawa limetengeza ajira nyingi sana! Hakika wanatuheshimisha watanzania!
Upo tayari kulipia bei mpya za vifurushj?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…