Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kuna tamthilia yao fulani mie ilikuwa inanikeraNje ya mpira wa bongo hamna kitu kinanivutia azam.
Ila uswahilini huwaambii kitu kuhusu azam, na pia jamaa wanajitangaza mno mno.
Haipiti siku hujasikia tangazo la azam media iwe redioni, au huko kwenye harakati utakutana nao tu wanazunguka na magari yao au myamvuli yao wanauza madishi.
Dstv iko poa sana tatizo gharama.
Billion 600 kwa msimu..Hela wanayo?
Unajua kiasi wanachilipa MultiChoice kununua haki ya kuonyesha EPL?
Azam wataweza?Billion 600 kwa msimu..
Nunua Canal+ dishi complete kwa Dar ni 160kNje ya mpira wa bongo hamna kitu kinanivutia azam.
Ila uswahilini huwaambii kitu kuhusu azam, na pia jamaa wanajitangaza mno mno.
Haipiti siku hujasikia tangazo la azam media iwe redioni, au huko kwenye harakati utakutana nao tu wanazunguka na magari yao au myamvuli yao wanauza madishi.
Dstv iko poa sana tatizo gharama.
Hao wanakuja labda kama mtu ana haraka, wanainunua dstvNunua Canal+ dishi complete kwa Dar ni 160k
Wasije Kuongeza kifurushi kutoka 35 hadi 38.Azam Tv wamezindua chaneli mpya ya Azam Sports 4HD na watarusha La liga ( Ligi Kuu ya Hispania) pamoja na Ligi Kuu ya Italy (Serie A)
Chaneli hiyo itaanza kuruka hewani 1 August 2024.
Tayari Azam Tv anarusha Ligi Kuu ya Tanzania, Ligi Kuu Kenya, Saudia Arabia, Ufaransa, Caf Champions League and Confederation Cup.
Hakuna atakayeweza kuifikia DSTV. Ile ligi nyingine mzeeLaliga and serie A are great games so far, DStv should freshen up
Kabisa aiseeKama kuna mtanzania kuanzia leo ataendelea kuisema vibaya Azam media, atakuwa na matatizo binafsi!
Hili ni kampuni la kizawa limetengeza ajira nyingi sana! Hakika wanatuheshimisha watanzania!
DSTV maji marefu wewe, huyu Azamtv mpk akafike level za kurusha EPL wewe na mwanao mtakuwa kaburini.Hatua nzuri, siku wakianza kurusha EPL ni rasmi watakuwa wamewazika DSTV
Hata wakirusha Epl usifikiri watarusha kwa hiyo elf 23 lazima gharama zitapanda na kufanana na DSTVWarushe EPL kaburu akalime matikiti kwao.
Utawapa wewe tajiri maana Azam hana pesa ila wewe ndio una pesa.Hela wanayo?
Unajua kiasi wanachilipa MultiChoice kununua haki ya kuonyesha EPL?
Azam Tv Burudani Kwa Waturuki.Azam wasingekuwa wanaonesha mechi za Ligi kuu ya Tanganyika, aisee ningewakimbia. Kuna wakati huwa ninafikiri hata ile 25 ninayowalipa kila mwezi, wananiibia tu.
Upo tayari kulipia bei mpya za vifurushj?Kama kuna mtanzania kuanzia leo ataendelea kuisema vibaya Azam media, atakuwa na matatizo binafsi!
Hili ni kampuni la kizawa limetengeza ajira nyingi sana! Hakika wanatuheshimisha watanzania!