Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

Million 500 umeirudia sana je wataalamu wanao!
 
Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills,
Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi hawashindwi kwenye vifaa vya ardhini ila Kuna mabwenyenye yenye satellite zao ndio mtihani
Frequency yenye kubeba vichannel 3 kwa kiwango Cha SD(mpeg 2) ni zaidi ya 150 million kwa mwaka
 
🙌
 
Hata wanunue mitambo ya namna gani. Siwezi kuangalia media zao. Infact siwezi kuangalia media yoyote ya Tanzania iwe Radio au TV wote ni uchafu tu.. Acha niendelee na ABC news, CNN,BBC, FOX , NSBC, DW tv, RT, France 24.
 
Tumegoma kula matango pori
 
Azam Media hana mpinzani wameleta kamera za 4k,seti ya Kamera moja inafikia 500M na pale zilikuwa Kamera zaidi ya Tano....ni balaa.
Azam wakipata kibali cha kuonyesha EPL na Uefa DSTV anakosa wateja.
Nafurahi kuona tunapata pongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…