Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

kujikamua mwenyewe kwa mkono wako
yeah self-gratification
mda wowote ule, haina sijui leo niko period, sijui leo nimechoka, sijui piga kimoja tu, sijui sijisikii, sijui nitumie nauli nije, sijui niko dry leo, haina harufu , unapiga zozote zile, huna mashaka na kupata UTI wala Gono wala Ngoma
 
eugru bey well said umeongea point nzuri tusimkufuru Mungu kweli tumrudie Mungu
 
Hii ndio sababu iliyonipelekea niseme miaka10-20 tutakuwa na kizazi cha watu wazima wa hovyo kupata kutokea.
 

Kama huna mke au demu wa uhakika ( kwa maana kila unapomuhitaji anafika kwa wakati) itakuwa ni kazi bure.

Utafiti wangu unaonyesha waathirika wakubwa wa kujichua ni watu wasio na wenza.
 

Naunga mkono hoja mkuu, tuazimie kuacha kwa nguvu zote.
 
bro nakuomba PM tafadhali
 
nyeto ni BORA kuliko mrembo, warembo wa sasa brek pvmbv, mnato umeyeyuka tangu umri wa miaka 12

nyeto una adjust kiganja tu size uipendayo, ukitaka mwaga haraka unakibana, punde si punde vitamin D hii hapa, swafi kabisa
Hahahah dah we Noma Sana ujue
 
Mkuu sina la kusema zaidi ya kusema

Uishi maisha marefu hakika umetupa chakula cha roho kwa ujumbe wenye Tani nyingi za kutosha
 
Dah inasikitisha Sana jamani

Huyo Mzee naamini kabisa Hilo tukio limemtafuna Sana tena sana
 
Nimejitahidi wee lakini wapii ila hivi sasa nmedhamilia maana Toka Mwaka umeanza sija chungulia huko.
Kitu Kikubwa ni dhamira njema mkuu, kama ukiamua kwa dhati ya moyo na kuona hiki ninachofanya sio sahihi kuna uwezekano mkubwa kushinda hii Vita.

Naamini unaweza mkuu endelea kupambana kwa mustakabali WA nafsi yako na roho yako pia
 
Vipo vitu vya kuacha ukivianza lakini sio hicho milango mingine ina njia ya kuingilia tu na haina milango ya kutokea
 
Kama huna mke au demu wa uhakika ( kwa maana kila unapomuhitaji anafika kwa wakati) itakuwa ni kazi bure.

Utafiti wangu unaonyesha waathirika wakubwa wa kujichua ni watu wasio na wenza.
Hiyo kitu ikiwakolea wanamuacha mke chumbani wanaenda kuchukua sheria mkononi bafuni, mambo ya aibu sana.
Kama huna mke au demu wa uhakika ( kwa maana kila unapomuhitaji anafika kwa wakati) itakuwa ni kazi bure.

Utafiti wangu unaonyesha waathirika wakubwa wa kujichua ni watu wasio na wenza.
 
Vipo vitu vya kuacha ukivianza lakini sio hicho milango mingine ina njia ya kuingilia tu na haina milango ya kutokea
Milango ya kutokea ipo tatizo mnajiendekeza na kuendekeza hiyo mihemko yenu ambayo mtendaji wa kata tu akiwa mbele yako unatetemeka kwa hofu, mihemko yote inarudi 0.3% ukiwa peke yako ndo unajifanya umeshindwa kuacha.

Na sasa hivi naona watu wengi wanaelekea kuwa wehu kuna kesi kadhaa za watu kufanya punyeto hadharani baada ya kuona mwanamke fulani anaevutia, hili ni sawa na kusema sasa watu wamefikia kilele cha utaahira kwenye hili jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…