Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

Unaweza kushangaa USA anasema viongozi wetu hata wapelekwe ICC ambayo yeye mwenyewe kaikimbia.
Duniani huwa hakuna haki Za binadamu wala demorasia inategemea tu unaruhusu kiasi gani mabeberu wakupande. Kama madini na rasilimali wanazoa watakavyo wewe Utakua unademokrasia kubwa Sana na unafaa kuigwa na nchi nyingine. Lakini ukianza kujitambua utakua hufai kabisa hata demokrasia yako iwe kubwa Kiasi gani na wanajua ukiweka demokarasia ya kiwango cha juu kukuvuruga usiendelee ni rahisi Sana.
Ukiona hupigiwi kelele na mabeberu ujue huna unachokifanya wanakukula watakavyo.
Namshukuru Mungu tumenza kuonwa Kama watu tulio serious na maendeleo tunapigiwa Kelele Sasa.
Hatuna budi kuwanunulia pepsi kubwa wakati wa vikao wanywe wakijadili. Maana wanamambi mengi yakujadili lakini wameacha yote waijadili TZ lazima Tutakua tumeanza kugoma kupandwa.


Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Jidanganye tu. Unafikiri bunge la Ndugai lile??? Yajayo yanafurahisha
Bunge letu la Ndungai ni bora mara mia kuliko hilo la kwao. Kwa nini nyie watu hampendi vitu vya kwenu, mnapenda tu vya wenzenu? Wahenga walisema chako ni chako na nyumbani kwako ni kwako hata kama ni pangoni! They have no any moral authority to tell us anything about our electral process.
 
K
Kibaraka wao hana chake,Oct 28.Wakae kwa kutulia tu.
 

Wakikujibu walipo hao ndugu tupo wengi, tunahamia CCM si kwa kununuliwa.

Short of that:

"Na wapigwe tu" - in Pinda's words.
 
Umeishia darasa la ngapi???
 
Tunamzungumzia Dikteta Jiwe
Wewe unadhan twamzungumzia nani?
Huu udikteta nimeusikia kwa Hayati B.Mkapa, nimeusikia kwa Mzee Dkt M. Kikwete na sasa Kwa Dr. JPM...

Lini tangu Uhuru kuna Rais alipita na machoni mwa wapinzani aliacha kuwa Dikteta!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huu udikteta nimeusikia kwa Hayati B.Mkapa, nimeusikia kwa Mzee Dkt M. Kikwete na sasa Kwa Dr. JPM...

Lini tangu Uhuru kuna Rais alipita na machoni mwa wapinzani aliacha kuwa Dikteta!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huko kwingine ulisikia wewe tu
 
Hawajasema ccm ishindwe chadema ishinde, wamesema uwe huru na haki. Wafuasi wa vyama hamuelewi.
 
Mie naendelea tu kufanya utafiti wa silaha za Marekani pale watakapoamua kuja kumtoa mtu kama walivyofanya kwa Noriega wa panama

Leo nimeanza na ndege vita F 22 Raptor

 
Na yeye analijua hilo ndiyo maana anapaniki hadi naanguka jukwaani.
Daaah hivi hiyo clip ya jamaa alivyoanguka jukwaani, wakati anapiga kelele zake unayo? Nahisi inafaa kwa matumizi ya baadae[emoji1787]
 
Hii pia ni ndege vita ya Marekani inaitwa B 2 Stealth Bomber!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…