dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Unaweza kushangaa USA anasema viongozi wetu hata wapelekwe ICC ambayo yeye mwenyewe kaikimbia.
Duniani huwa hakuna haki Za binadamu wala demorasia inategemea tu unaruhusu kiasi gani mabeberu wakupande. Kama madini na rasilimali wanazoa watakavyo wewe Utakua unademokrasia kubwa Sana na unafaa kuigwa na nchi nyingine. Lakini ukianza kujitambua utakua hufai kabisa hata demokrasia yako iwe kubwa Kiasi gani na wanajua ukiweka demokarasia ya kiwango cha juu kukuvuruga usiendelee ni rahisi Sana.
Ukiona hupigiwi kelele na mabeberu ujue huna unachokifanya wanakukula watakavyo.
Namshukuru Mungu tumenza kuonwa Kama watu tulio serious na maendeleo tunapigiwa Kelele Sasa.
Hatuna budi kuwanunulia pepsi kubwa wakati wa vikao wanywe wakijadili. Maana wanamambi mengi yakujadili lakini wameacha yote waijadili TZ lazima Tutakua tumeanza kugoma kupandwa.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Duniani huwa hakuna haki Za binadamu wala demorasia inategemea tu unaruhusu kiasi gani mabeberu wakupande. Kama madini na rasilimali wanazoa watakavyo wewe Utakua unademokrasia kubwa Sana na unafaa kuigwa na nchi nyingine. Lakini ukianza kujitambua utakua hufai kabisa hata demokrasia yako iwe kubwa Kiasi gani na wanajua ukiweka demokarasia ya kiwango cha juu kukuvuruga usiendelee ni rahisi Sana.
Ukiona hupigiwi kelele na mabeberu ujue huna unachokifanya wanakukula watakavyo.
Namshukuru Mungu tumenza kuonwa Kama watu tulio serious na maendeleo tunapigiwa Kelele Sasa.
Hatuna budi kuwanunulia pepsi kubwa wakati wa vikao wanywe wakijadili. Maana wanamambi mengi yakujadili lakini wameacha yote waijadili TZ lazima Tutakua tumeanza kugoma kupandwa.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app