[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basis hatareee tupu lol.Kambini nasikia wanarogana sana kule wakiongozwa na mwaisa yaani ukiacha kitu au soksi katika hostel za yanga umekwisha japo mwaisa kaondoka ila ujuzi kaacha kwa vijana unaona yule mapinduzi anaondoka yanga kacheza mechi mbili ikiwemo ile aliyoifunga simba baada ya hapo wakampiga misumari hajawahi kuwa fit mpaka kaondoka wamemfanyi ukatili sana sasa hzo taarifa zote amepewa aziz ki awe makini asije akawa yikpe mpya [emoji23][emoji23]
Aya timu kubwa hupimwa kwa kuchukua Champions league Mara nyingi zaidi.........Tuje kwa timu yako ya Simba ina makombe mangapi ya Caf Champions League?Ukubwa wa team hauji au haupimwi kwa league ya ndani hii mnayoahidi million 10 kila mkoa kwa team inayoifunga simba hata real Madrid ni club kubwa na yenye thamani duniani sio kwa kuchukua laliga title ila ni kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE sasa wewe hata uchukue league miaka mitano kama kimataifa hufanyi vizuri mtaishia kwenda manungwi tu kula miwa yaani usajili mchezaji million 400 aje acheze kaitaba stadium na kagera wakati kimataifa mnawahi kutoka hzo hesabu za wapi utopolo mwaka wenu huu kwa usajili mliofanya msipofika fainali CAF champion's league mtafika mwaka gani unbeaten yanga daima mbele nyuma mwiko.
View attachment 2292768
Wakati mnasema kuwa KI alihitajiwa na Simba Sc, mlileta reliable source? Au reliable source zinatakiwa zitolewe kwenye maswala yanayoihusu Yanga tu?Nmekwambia leta hapa reliable source kwamba team itaenda Turkey , punguza kukaa salon za kike na dada zako
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Upunguani ni kipaji mwenzetu ume barikiwa , kwamba mchezaji asafiri toka huko aje kuanza ku bargain malipo wazazi wako wana hasara sana kufuga lifara miaka yote hioMbona unajitoa ufahamu aziz ki alipangwa atambulishwe ile siku mliyopost mafunguo kutoka kwenye nyimbo ya dj Khalid sasa bwana aligoma ku sign kwasababu kuna vitu havikuwa sawa ikabidi mumtambulishe usiku sio kwamba mlipenda ila baadhi ya terms za mkataba wake zilikuwa hazijakamilika unadhani yule ni kama ambundo akipewa mkataba anaangalia kwenye salary tu anadondoka mkuu mnaenda lini morogoro maana nipo gairo hapa nataka nijue nini cha kuongezea kilichopungua huko kambini utani sio uadui.
Wee mbna umekua mpoleee ghaflaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguzeni Payo Payo wanasimba,nendeni mkajadili mambo ya msingi kwenye klabu yenu
Hii Yanga mnayo ijadili Leo hii,msimu msimu ulioisha imemaliza mashindano ya ndani bila kufungwa mechi hata moja na kuchukua makombe yote ya ndani
Fikiria na hizi addition mpya hiyo Yanga itakuwa ya moto sana na wala sio ya kukaa nayo karibu hata kidogo
Hugo azam,usajili aliofanya ndio balaa zaidi,kwahyo msipo angalia vzr msimu ujao mtacheza play off kabisa kama sio kushuka daraja coz kwasasa hatutafanya jitahidi zozote za kuwafanya msishuke daraja
Na huko kimataifa ndo hamtafika popote kwa kikosi cha wavunja kuni mlicho nacho kwasasa na aliyekuwa amewasaidia kwenye mechi za kimataifa mwaka Jana amerudi Yanga.
MNA matatizo kibao kwenye timu ya kuyamaliza mapema sana kabla ligi haijaanza coz hatutaki kusikia malalamiko ya bahasha za GSM
Nawakumbusha tena mwaka jana mlifanya mlikuwa na pre season bora sana ya siku 45 na Yanga walikuwa na pre season mbaya sana ya Sikh 7 na kurudi Tanzania ila kilichotokea kwenye ligi mpk sasa ni historia imebaki
Tulileta barua kutoka Simba waliyomtumia offer ya kumsajili Ki Aziz ikiwa na signing fee na mshahara walikuwa wamepanga kumpaWakati mnasema kuwa KI alihitajiwa na Simba Sc, mlileta reliable source? Au reliable source zinatakiwa zitolewe kwenye maswala yanayoihusu Yanga tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe umeishiwaa eeeh?? Unajifanya mjanjaa, ukiguswa kidogo unakua mpoleeee, badooo mbna ntakunyooshaa.Hbr za kwenda pre season USA kama mtu wa mpira utakuwa unakumbuka Kanjibhai MO alivyotoa hiyo taarifa
Punguza level ya umbumbumbu wako,pia jifunze kuongea jambo kwa fact na source zake
NB:Ukireply comments zangu huwa sipendi kukujibu,kwasababu nikiona reply yako huwa nahisi harufu ya kinyesi,nadhani unajielewa mwenyewe
Wewe waache tu jana VAR imetestiwa mwaka huu hakuna zile mambo zao za penalties za ujanja ujanja na magoli ya offside, hawa mabingwa wastaafu wanahudhunisha sanaPunguzeni Payo Payo wanasimba,nendeni mkajadili mambo ya msingi kwenye klabu yenu
Hii Yanga mnayo ijadili Leo hii,msimu msimu ulioisha imemaliza mashindano ya ndani bila kufungwa mechi hata moja na kuchukua makombe yote ya ndani
Fikiria na hizi addition mpya hiyo Yanga itakuwa ya moto sana na wala sio ya kukaa nayo karibu hata kidogo
Hugo azam,usajili aliofanya ndio balaa zaidi,kwahyo msipo angalia vzr msimu ujao mtacheza play off kabisa kama sio kushuka daraja coz kwasasa hatutafanya jitahidi zozote za kuwafanya msishuke daraja
Na huko kimataifa ndo hamtafika popote kwa kikosi cha wavunja kuni mlicho nacho kwasasa na aliyekuwa amewasaidia kwenye mechi za kimataifa mwaka Jana amerudi Yanga.
MNA matatizo kibao kwenye timu ya kuyamaliza mapema sana kabla ligi haijaanza coz hatutaki kusikia malalamiko ya bahasha za GSM
Nawakumbusha tena mwaka jana mlifanya mlikuwa na pre season bora sana ya siku 45 na Yanga walikuwa na pre season mbaya sana ya Sikh 7 na kurudi Tanzania ila kilichotokea kwenye ligi mpk sasa ni historia imebaki
Aya sawa ila kumbuka huwa nikiona reply yako kwenye comments zangu,nahisi harufu ya kinyesi kutoka kwakoWee mbna umekua mpoleee ghaflaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Furaha imezimwa?? Kasaidie kutengeneza juice ya miwa huko Bigwa.
Achana name huyo, kasha changanyikiwa hana Pa kushika.Umeamia kwenye timu yetu tena na sio kusisitiza kuhusau source?
Kwa maana hiyo umekubali kuwa source ni trustable?
Si bora mimi punguani lakini silipwi nyinyi mnamlipa mshahara mmempa na gari kwa kazi ya upunguani yule nguruwe pori kwa umri wake na mambo anayofanya haviendani yule aliyewaambia mnaanzia hatua ya mtoano CAF champion's league wakati mna 0.5 mapunguani wengine wapo airport pale ngoja CAF champion's league ianze utawaona wanaenda kuwapokea wageni wala hawawajui hata kidogo.Upunguani ni kipaji mwenzetu ume barikiwa , kwamba mchezaji asafiri toka huko aje kuanza ku bargain malipo wazazi wako wana hasara sana kufuga lifara miaka yote hio
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Aya sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe umeishiwaa eeeh?? Unajifanya mjanjaa, ukiguswa kidogo unakua mpoleeee, badooo mbna ntakunyooshaa.
Yakizidi sana muone Daktar, kunywa maji mengi afu relaaax.
Byuti byuti. Weuweeeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unalia nn?? Hebu relaaaaaaaaax.Ulipewa official statement na kiongozi gani kwamba wanaenda uturuki? Unaweza ukawa mwanaume kumbe unazo homone za kike na mambo yako yanakuwa ya kikekike tu, Maumivu mnayopitia ni makubwa sana tunajua na mtaokoteza vimaneno vya kuwafariji mpaka mtanyoosha maelezo, kila timu inayo mipango yake, wewe shabiki wa kolokoloni uwezi kuipangia yanga cha kufanya, kazi yako itabaki kuwa mpiga ramli Kama mganga wa kienyeji kwakuwa bwana rage alishawalaani aliona vichwa vyenu ni empty,
Huko champions League una kombe gani ili tuone huo ukubwa wakoUkubwa wa team hauji au haupimwi kwa league ya ndani hii mnayoahidi million 10 kila mkoa kwa team inayoifunga simba hata real Madrid ni club kubwa na yenye thamani duniani sio kwa kuchukua laliga title ila ni kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE sasa wewe hata uchukue league miaka mitano kama kimataifa hufanyi vizuri mtaishia kwenda manungwi tu kula miwa yaani usajili mchezaji million 400 aje acheze kaitaba stadium na kagera wakati kimataifa mnawahi kutoka hzo hesabu za wapi utopolo mwaka wenu huu kwa usajili mliofanya msipofika fainali CAF champion's league mtafika mwaka gani unbeaten yanga daima mbele nyuma mwiko.
View attachment 2292768
Ok mada nzuri huko hatujafika kwa vilabu vya Tanzania ila club inayofanya vizuri au yenye record CAF champion's league sio tu Tanzania afrika mashariki kwa ujumla simba ndio kinara kwani hata kuanza haanzi hatua moja na utopolo tumechelewa ila tutafika Tanzania inatoa team nne kwasababu ya simba hata thamani yao imepanda kama yanga akiwahi kuchukua CAF champion's league kabla ya simba basi pia itakuwa kheri ila ukubwa wa team unapimwa kwa kiwango hcho sawa 0.5 radius pambaneni mtafika level za simba sio lazima mkubali ila takwimu zinaongea.Aya timu kubwa hupimwa kwa kuchukua Champions league Mara nyingi zaidi.........Tuje kwa timu yako ya Simba ina makombe mangapi ya Caf Champions League?
Ili tujue ukubwa wako upo wapi?
Leta hapa email ya Senzo wewe bibiewacha weeee mapendekezo yalikuja kujulikna tarehe 14 siku senzo anatuma email turkey? tangu wana book hawakuongea na kocha ?
usihangaike na laki yako ina maana hujaona barua ya waturuki kudai fidia ya usd 87,000?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko pale kambini anasambaza upendo kwa wana, tena akaona haitoshi akaamua aweke video public watu tusuuze macho, na tujue ya kambini.Aya sawa ila kumbuka huwa nikiona reply yako kwenye comments zangu,nahisi harufu ya kinyesi kutoka kwako
Na nilishakueleza tangu muda mrefu humu jukwaani huwa sitaki kuwa na engagement na machoko
Kuto anza hatua moja na utopolo na kuiwezesha Tanzania kutoa team nne hilo ni kombe pia mdogo mdogo tutafika nyinyi mlishiriko miaka minne mpaka leo mnazidiwa na namungo fc na biashara kimataifa kufanya vizuri kimataifa sio lazima uchukue kombe Tanzania hatujafika level hzo siku tukifika basi tutajipima kwa mataji sasa hivi tuna jipima kwa achievement.Huko champions League una kombe gani ili tuone huo ukubwa wako
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tulisema wapi? leta ushahidiWakati mnasema kuwa KI alihitajiwa na Simba Sc, mlileta reliable source? Au reliable source zinatakiwa zitolewe kwenye maswala yanayoihusu Yanga tu?